Tuko pamoja brooo mi nilikua natafuta chama kisafi kila nikitazama huku ukabila ballaaa halafu wameeneza sana siasa za chuki mi kama mtanzania namuomba zito kabwe mpya aje na sera bora bila siasa za chuki udini ukabila tupa kule asimamie haki naamini...
No kibao kinacho unye sha uzito kipo tatizo ni loli kwan hii ni mara ya pili mwanzo kontena ambayo imepakia matofari nalo pia lilianguka sasa hapa ndo utakapojua watanzania ni wahalibifu sana tena sana. Halafu sisi wachangiaji mada ni wazur wa kulaumu...
Waislam wakilalamika mfumo cristu watu wanawaona wadin wanawakamata masheh na kuwa sweka rumande niya yao kuna mambo mengi yapo kiujanjajanja bahati huu ni wizi ndomana leo limefumuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.