Uncertainty
Member
- Jan 23, 2012
- 70
- 27
Hapo unaweza kuta dreva hayupo kamuachia gari tingo,
Walivyo na akili za kuku wao wanajua kukanyaga mafuta tu😱
Walivyo na akili za kuku wao wanajua kukanyaga mafuta tu😱
Wnawapima mama wakati wa kuwapa leseni lakini inaelekea hata hao wapimaji nao wanatakiwa kupimwa. Sijui watapimwa na nani maana zile vetting zinazofanyika 'live' kwenye TV kama ilivyo wenzetu hapa zimekataliwa, ni 'mamlaka ya uteuzi' tu inayojua ni nani anafaa!Tena? Kupima madereva akili ni muhimu.
Kuna njia mbadala hapo pembeni ya daraja, kwa nin hyo dere asingepita pembeni na mlôri wake??----- kweli hyu dere ni -----!