Jeshi la polisi sio la kuaminiwa tena kwa wananchi kama masaburi alinukuliwa ajisema alimpigia RPC akimwagiza awaachie vijana waliokamatwa. Sasa hapo kuna utegemezi tena ? Afadhali wananch waliamua kuchukua hatua ya kuwashika wale vijana baada ya polisi kiwaachia. Watanzania tufunguke macho ccm...
Lowasa amewaangusha watu wengi sana waliompata imani na itamgharim sana kuelleweka kwa watu wake kwamba kwanin haonyeshi ushirikiano wakati wao wanampa support.
Wanashangilia Magufuli kuwa raisi au kutokana na anavyopendwa na watu.
Kama mnakumbuka hakuna mtu ambaye alikubalika na kupendwa kama Dr. JK, ila alipoingia mliona alichotufanya.
Don't trust in Politicians.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.