Recent content by chanduka

  1. C

    JamiiForums Tanzania Itakuwa Ni Makosa Makubwa sana kumtoa Lissu Gerezani. Atakuja Kuligawa Taifa na Kuleta Uchochezi Mkubwa na kupandikiza Chuki na Uhasama kwa Watanzani

    lucas mshamba endelea kujifariji muda c mrefu utabadili ID humu ndani
  2. C

    JamiiForums Tanzania Takukuru iingilie kati kufanya uchunguzi juu ya matumizi ya fedha yanayofanywa na Makonda na wizara ya maliasili na utalii kuleta wanamichezo nchini.

    lucas mwashambwa sometme uwe unafikilia kwa kutumia akili zako timamu usiongozwe na tumbo hao unaowashabikia wanapigwa viyoyozi we unahangaika kuwasafisha hvi ushawaza wazazi wako tabu wanazopitia huko kijijini
  3. C

    JamiiForums Tanzania Heche Ni Muongo. Mafuta Yamepanda Dunia Nzima. Hayajapandishwa na Serikali wala wafanyabiashara

    Unaweza kumuona lucas mwashamba kama mwehu kumbe yeye ndo abdul alaf sisi hatufahamu
  4. C

    JamiiForums Tanzania Sangara Ziwa Victoria: Ni Baraka kwa Uchumi au Laana kwa Ikolojia ya Samaki wetu wa Asili?

    Kiukweli hali ya uvuvi haramu kwa sasa imeshamiri kuzidi kiwango sio ziwa victora pekee hata ukiangalia kwenye mabwawa kama mtera na kidatu zile samaki asili zinazidi kutoweka
  5. C

    JamiiForums Tanzania Hizi habari kuhusu Makonda ni za kweli??

    Majina yenyew wanchelewesha kama nn wao watangaze tu
  6. C

    JamiiForums Tanzania Soko la ufuta likoje kwenye mkoa uliko?

    mwaka huu ufuta jau
  7. C

    JamiiForums Tanzania Soko la ufuta likoje kwenye mkoa uliko?

    mwaka huu ufuta changamoto sana kuanzia kweny mavuno hadi sokon
  8. C

    JamiiForums Tanzania Wenyeji na wazoefu wa mkoa wa Mtwara naombeni Shule

    mwaka huu msimu utaisha mapema nadhan had mwz wa 12 kutakuw hakna msimu
  9. C

    JamiiForums Tanzania Wenyeji na wazoefu wa mkoa wa Mtwara naombeni Shule

    ukiwa na 80k unafika had huku
  10. C

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wa kuifahamu kikosa morogoro kiundani

    mkuu nenda sehemu inaitwa lumuma ni nzuri sana
  11. C

    JamiiForums Tanzania Wenyeji na wazoefu wa mkoa wa Mtwara naombeni Shule

    npo msilili
  12. C

    JamiiForums Tanzania Wenyeji na wazoefu wa mkoa wa Mtwara naombeni Shule

    mkuu me nipo huku newala kiukwel axaiv msimu bidhaa nying zinauzika tena xana cha msingi lenga bidhaa za wanawake na vijana i mean viatu vya kike chupi taiti utakuja kunishukulu
  13. C

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    mkuu singano amekula ban ya mwaka mzima hvyo cjui tutakuwa na alosto ya muda gani
Back
Top Bottom