lucas mwashambwa sometme uwe unafikilia kwa kutumia akili zako timamu usiongozwe na tumbo hao unaowashabikia wanapigwa viyoyozi we unahangaika kuwasafisha hvi ushawaza wazazi wako tabu wanazopitia huko kijijini
Kiukweli hali ya uvuvi haramu kwa sasa imeshamiri kuzidi kiwango sio ziwa victora pekee hata ukiangalia kwenye mabwawa kama mtera na kidatu zile samaki asili zinazidi kutoweka
mkuu me nipo huku newala kiukwel axaiv msimu bidhaa nying zinauzika tena xana cha msingi lenga bidhaa za wanawake na vijana i mean viatu vya kike chupi taiti utakuja kunishukulu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.