Recent content by chanawalleti

  1. C

    Kwa nini ARVs zinanenepesha?

    atakua ana matatizo huyu siyo bure
  2. C

    Kwa nini ARVs zinanenepesha?

    Natumia mkuu na nipo fresh
  3. C

    Kwa nini ARVs zinanenepesha?

    Ndiyo wapi huko mkuu inamaana hawa wanaonenepa wanatumia dozi tofauti?
  4. C

    Kwa nini ARVs zinanenepesha?

    Kwa iyo wanakula vizuri zaidi
  5. C

    Kwa nini ARVs zinanenepesha?

    Hizi dawa zimetengenezajwe maana mtu akianza kutumia mwili unabadilika gafla na kua mnene na kwa baadhi ya wanawake wanakua na makalio makubwa na hipsy? Pia kwa wanaume wanakua na kitambi je huwa kuna kemikali zilizopo ndani yake? Na kwa nini hizi dawa unapoanza kutumia utaanza kuona...
  6. C

    Wasichana wa Dar wanakomoa sana wanaume

    mkuu wanauzi sana hawa viumbe wamepewa Bure ila wamekifanyia kama kitega uchumi
  7. C

    Wasichana wa Dar wanakomoa sana wanaume

    Yani wasichana wa Dar wanajifanya high class sana, huku wakiwa ni matapeli wa mapenzi na ni wizi tuu, hata ladha yao ni tofauti na wa mkoani, yaani imekuwa kwa Dar mpaka msichana akupe penzi kwake ni biashara. Ukimwita mahali ni kuagiza savana, wisk, wine yaani mradi akukomoe tuu, bado asubuhi...
  8. C

    Mwili kuishiwa na nguvu

    mkuu ebu jaribu kupima pb BP sugar HIV wala usiogope wewe Pima hivyo tuu
  9. C

    Yametimia, ndege ya ATCL, Dash8-Q400 angani

    kwa ndege zipi hayo mapanga?
  10. C

    Ukitumia ARV'S unaweza kusukuma siku adi miaka mingapi?

    hivi mkuu unapata faida gani unavyopotosha uma si bora tuu ukae kimia watu kama nyie wafaa mpigwe mawe mpaka mfe
  11. C

    Yametimia, ndege ya ATCL, Dash8-Q400 angani

    haaaa hivi na haya mapanga bado watu wapo hoi ndege za kizaman sana hizi aisee
  12. C

    Kwanini tusimpongeze Rais Magufuli kwa kununua ndege kwa Cash?

    ndege zipi? haya mapanga ya mwaka arobain na 7?
  13. C

    Tatizo la kutokwa na uchafu mweupe kwenye uume

    siku hizi hajisikii dawa zinafel adunge panaduu Ile ya mmba
Back
Top Bottom