Recent content by Chan

  1. C

    Ukweli kuhusu ubongo wa mwanadamu

    Uzi mmoja hapa ulichimbua kwa kina kirefu maarifa ya ubongo click the link !! All the best. cc Monstgala
  2. C

    Ubongo wa binadamu na utunzaji wa kumbukumbu

    mkuu mada nzuri sana ngoja nikune kichwa kwanza nina maswali kadhaa kuhusu hizi mbongo zetu
  3. C

    Kwa Nini Marekani Duniani?

    Mtoa mada anaongelea Marekani, hilo moja. Mtoa mada anataja ubabe wa marekani, namba mbili. Tatu anasema nani atamfunga paka kengele. sasa mimi nachangia hoja kwa kubase kwa Marekani, moja. Nimechukua vita ya pili ya Irak kuelezea ubabe wa Marekani. Tatu nataja wamarekani wenyewe ambavyo...
  4. C

    Idadi ya sayari zinazolizunguka Jua

    so what is JF for?
  5. C

    Idadi ya sayari zinazolizunguka Jua

    hapo somo limeeleweka. :A S thumbs_up:
  6. C

    Kwa Nini Marekani Duniani?

    Marekani is deeply regreting the Second Irak war. Vita ile haikwenda jinsi ilivyopangwa na imeigarimu mabilioni ya dola mpaka sasa. Ni kovu kubwa maana haikuwa na faida na wamarekani wengi wanajutia sana.
  7. C

    Kama dunia inazunguka, kwanini miamba na milima haiporomoki? Na kwa nini bahari isimwage maji yake?

    Je ulichoandika ni kile ulichoelewa? au ni tafsiri ya neno kwa neno aka direct tu kwa kiswahili kutoka sehemu?
  8. C

    Kuna tofauti gani kwenye uwezo wa kufikiri kati ya mwanamme na mwanamke

    Duh! mkuu Matege unaweza ukatupia ka ushahidi japo kuendorse unachowakilisha? Sibishi ila nataka kujiridhisha ili nikimstua mamsap kuhusu hii niwe na uhakika.
  9. C

    Kiini cha Falsafa, dini za Uislamu na Ukristu ni Afrika

    Mista Yo yoo mnyamwezi wa mamtoni tushushie vitu kwa kiswahili bana acha mbwembwe. mbona Monstgala alishusha manondo ya mabig bang na magalaksi tukamsoma vizuri? Hapa jukwaani kina Kiranga, eiyer na mamemba wengine wanashusha vitu kwa lugha ya mama na wanasomeka vizuri tu. sasa wewe posti...
  10. C

    Ukweli wa Kustaajabisha Kuhusu Nyota za Angani

    nimekutana na hii kwenye tube kumbe jua letu ni kitu kidogo sana angani.
  11. C

    Dr. Robert Charles Gallo: The man who created AIDS

    Since the discovery and all pain it has brought to Africa we should have stop it by quitting the unnecessary transmission through unfaithful relationships and meaningless sexual intercourses. Africans, we are too ignorant. That ignorance weakness is eating us alive in many other areas not only...
  12. C

    Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

    umesema kweli mkuu wengi wanaocomment hawajasoma biblia kujua nini kilitokea kwa wana wa Israel na sababu zote za wao kuzunguka jangwani miaka zipo wazi. safi sana no research no right to speak.
  13. C

    Kuna tofauti gani kwenye uwezo wa kufikiri kati ya mwanamme na mwanamke

    Sina uhakika kama bongo zinakuwa zimetofautiana ila kuna mambo ya homoni ambayo huwa yanaleta tofauti.
  14. C

    Kumekucha! Utafiti kuhusu uwezo wa akili

    Jina la mtoa mada kama dawa flani ya kikohozi. Kazaliwa au kaundwa maabara? hihiihi!
  15. C

    Israel: wanne wakamatwa kwa kupinga ndoa ya myahudi na mwarabu

    Talking from experience or?
Back
Top Bottom