Mtoa mada anaongelea Marekani, hilo moja. Mtoa mada anataja ubabe wa marekani, namba mbili. Tatu anasema nani atamfunga paka kengele. sasa mimi nachangia hoja kwa kubase kwa Marekani, moja. Nimechukua vita ya pili ya Irak kuelezea ubabe wa Marekani. Tatu nataja wamarekani wenyewe ambavyo...
Marekani is deeply regreting the Second Irak war. Vita ile haikwenda jinsi ilivyopangwa na imeigarimu mabilioni ya dola mpaka sasa. Ni kovu kubwa maana haikuwa na faida na wamarekani wengi wanajutia sana.
Duh! mkuu Matege unaweza ukatupia ka ushahidi japo kuendorse unachowakilisha? Sibishi ila nataka kujiridhisha ili nikimstua mamsap kuhusu hii niwe na uhakika.
Mista Yo yoo mnyamwezi wa mamtoni tushushie vitu kwa kiswahili bana acha mbwembwe. mbona Monstgala alishusha manondo ya mabig bang na magalaksi tukamsoma vizuri?
Hapa jukwaani kina Kiranga, eiyer na mamemba wengine wanashusha vitu kwa lugha ya mama na wanasomeka vizuri tu. sasa wewe posti...
Since the discovery and all pain it has brought to Africa we should have stop it by quitting the unnecessary transmission through unfaithful relationships and meaningless sexual intercourses. Africans, we are too ignorant. That ignorance weakness is eating us alive in many other areas not only...
umesema kweli mkuu wengi wanaocomment hawajasoma biblia kujua nini kilitokea kwa wana wa Israel na sababu zote za wao kuzunguka jangwani miaka zipo wazi. safi sana no research no right to speak.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.