Mange repost! Hivi nowdays Watu wakua-brainwashed kiasi gani! Hii post nendeni kwenye ukurasa wa Instagram mange kimambi utaona uzi huu! Yule mwanamke kaachika huko, wenzetu wanajaribu kufuatilia kila kitu mtu wake achofanya sasa huyu kaachika ndo maana kaanzisha app yake ambayo ili upate umbea...
CAG summary, today; copper concentrate exports is Zero rated, yaani hapo ni hakuna kitu tunachopata
Na viroba time frame ilikua toka August 2016, hawa akina Hans Pope ndo sehemu zao za kula wanatujaza tuwaunge mkono kiboya
Duuh itabidi admin uwe unafanya interview kwa members kabla ya kujiunga humu Jukwaani! Kuna zero brain wengi
So wew unafikiri jukumu la usalama liko chini ya Nani, ok let's say partner wako amekiuka makubaliano ambayo ni halali so wew binafsi unaweza kwenda kumkamata huyo mtuhumiwa wako?
Acha ujuha , we unajua kwamba Nay alisaini na BASATA kwamba hawezi kutoa nyimbo yoyote bila kupitiwa na BASATA, kavunja makubaliano we ulitaka BASATA ndo wamkamate! Usiendeshwe na mihemko.!
Duuh! Angalau ungesema your hero sio Tanzanian hero, Yule mama Hana break matusi yakianza kumtoka utadhani choo cha Uswazi kimetapika, na coz ni mama wa nyumbani hana shughuli inayomuweka busy that's y anaropoka, kwatukana hao wakurungezi wa clouds Kama kahaba aliyenyimwa pesa yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.