Je ni kweli samaki sato ukiwafuga vizuri wanaweza kufikia kg 1 kwa muda wa miezi 6?mwenye uhakika anithibitishie hili mimi ndo nimeanza kufuga zina mwezi mmoja.
Napatikana Musoma natafuta soko la kiwanda kinachonunua dagaa ya chakula ya kuku Dar es Salaam nahitaji kujua bei ya kilo kama wapo wanaonunua wajitokeze ili tufanye biashara ndo kwanza nataka nianze ushauri pia nahitaji kwa wazoefu.
Anatafuta ajira ana leseni ya class e pia ni fundi magari elimu yake darasa la saba yupo tayari kufanya kazi mikoa ya pwani na dar ess salaam namba yake ya sim ni ya tigo 0717383678 kwa sasa anaishi bagamoyo wanajami huyu ni mdogo wangu anaomba msaada.
Anatafuta ajira ana leseni ya class e pia ni fundi magari elimu yake darasa la saba yupo tayari kufanya kazi mikoa ya pwani na dar ess salaam namba yake ya sim ni ya tigo 0717383678 kwa sasa anaishi bagamoyo wanajami huyu ni mdogo wangu anaomba msaada.
Anatafuta ajira ana leseni ya class e pia ni fundi magari elimu yake darasa la saba yupo tayari kufanya kazi mikoa ya pwani na dar ess salaam namba yake ya sim ni ya tigo 0717383678 kwa sasa anaishi bagamoyo wanajami huyu ni mdogo wangu anaomba msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.