Tatizo jeshi letu lina usiri saana lakini amini nakwambia hicho kitengo kipo na kwa East Africa we are the best tukifuatiwa na Rwanda (rwanda wao wanafundishwa na Israel na Russia)
Tz wanapewa mafunzo na china na nchi X na Y (hizi X na Y zina vikwazo so ....)
Inasemekana plan yao ilikuwa baada ya mazishi hao viongozi wa Kenya wakifika nchini mwao watangaze kuwa wamepata corona, pongezi ziende kwa intelligence yetu ilizuiya hiyo njama.
Hawa jamaa sijui wanapata faida gani kutaka kuiaminisha dunia kuwa Tz kuna corona?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.