Wajumbe wa viongozi Wakenya waliokwenda kuhudhuria msiba wa Mkapa, wageuza kutokana na hali ya hewa mbaya

Ni jitu lenye maamuzi ya ajabu ajabu hilo, acha tu tungoje muda wake huishe aondoke,hamna namna, ameharibu ushikamano wa EA sana,historia itamkumbuka kwa hilo.Sijui anajijengea sifa ipi baada ya kustaafu.
Kama ni kweli kwamba walizuiwa kutua Tz na kushiriki kwenye hafla yenyewe, basi jambo la ajabu mno kwenye kituko chenyewe ni hawa watz wanaounga mkono maamuzi ya kiboya kama hayo. Tena kutoka kwa viongozi wao wa ngazi za juu kabisa.

Wakati wa msiba kama huo hata maadui wa kweli kabisa, ambao huwa wanaonesha chuki za wazi wazi, kwa mwendazake au jamii yake, huwa hawazuiwi kutoa heshima(au dharau) zao za mwisho. Hamna jipya lakini, isipokuwa muendelezo wa misamamo ambayo sio ya kushirikisha ubongo hata kidogo, kutoka kwa serikali na viongozi wa enzi hizi nchini Tz. Yaani ni kama kuna mtu ambaye alitamani sana kwamba mazishi yangekuwa ni yake yeye mwenyewe, ili aweze kufufuka ghafla na aanze kuwakomoa waliohudhuria hadharani mbele ya kadamnasi. 😁
 
Kama ni kweli kwamba walizuiwa kutua Tz na kushiriki kwenye hafla yenyewe basi jambo la ajabu mno kwenye kituko chenyewe ni hawa watz wanaounga mkono maamuzi ya kiboya kama hayo. Tena kutoka kwa viongozi wao wa ngazi za juu kabisa. Wakati wa msiba kama huo hata maadui wa kweli kabisa, ambao huwa wanonesha chuki za wazi wazi, kwa mwendazake au jamii yake, huwa hawazuiwi kutoa heshima(au dharau) zao za mwisho. Hamna jipya lakini, isipokuwa muendelezo wa misamamo ambayo sio ya kushirikisha ubongo hata kidogo, kutoka kwa serikali na viongozi wa enzi hizi nchini Tz. Yaani ni kama kuna mtu ambaye alitamani sana kwamba mazishi yangekuwa ni yake yeye mwenyewe, ili aweze kufufuka ghafla na aanze kuwakomoa waliohudhuria hadharani mbele ya kadamnasi. 😁

Kama kweli mngekuwa mnatambua thamani na mchango wa mzee Mkapa hapo kwenu tu Kenya lazima mngetia uzito kwenye delegation iliyokuwa inamuwakilisha wanjohi, he shouldn't send that group of village herdsmen as his representative.
 
Kama kweli mngekuwa mnatambua thamani na mchango wa mzee Mkapa hapo kwenu tu kenya lazima mngetia uzito kwenye delegation iliyokuwa inamuwakilisha wanjohi..he shouldn't send that group of village herdsmen as his representative.
Amesema nani kwamba ni heshima ndogo? Mwendazake Mkapa familia yake au nani? Maanake hafla ilikuwa inamhusu yeye, sio Jiwe wala serikali ambayo jukumu lake ni usimamizi tu. Kiongozi wa walio wengi Seneti ambalo ni bunge la juu, Mh. Poghisio ni kiongozi wa ngazi za chini? Vipi kuhusu ujumbe wa rais UK, siku tatu za maombolezi na bendera kupepea nusu mlingoti nchini Kenya? Hayo pia hayakutosha, au mlitaka sote tunyoe vichwa vyetu na tuvae matambara? Bure kabisa, unatatea upumbavu tu, akili finyu na maamuzi ambayo ni ya hadhi ya chini sana na ya aibu kubwa hata kwa wenyekiti wa minada au wa nyumba kumi.
 
Hahaha polee...blame it on the weather. Usinipigie mayowe yako hapa. Ndio mjifunze.
Mbona umechanganyikiwa hivi? Mara sijui tatizo lilikuwa ni wajumbe waliotumwa, mara COVID, mara tena tujifunze eti sijui kutoka kwa hali ya hewa. Ndio maana nikasema wazi hapo mwanzoni kwamba ...iwapo ni kweli kwamba walizuiliwa... maamuzi hayo yalikuwa ya kiboya kupindukia. Naona unaelewa hilo, kama tu viongozi wako, ndio maana wote mnaimba chorus ya kulaumu hali ya hewa. Mngekuwa wababe kama mnavoaminishwa serikali yenu ya dona kantrii ingekuwa na ubavu wa kusema wazi kwamba iliwazuilia. Get it Mr. Sisiemu Marionnette?
 
Mbona umechanganyikiwa hivi? Mara sijui tatizo lilikuwa ni wajumbe waliotumwa, mara COVID, mara tena tujifunze eti sijui kutoka kwa hali ya hewa. Ndio maana nikasema wazi hapo mwanzoni kwamba ...iwapo ni kweli kwamba walizuiliwa... maamuzi hayo yalikuwa ya kiboya kupindukia. Naona unaelewa hilo, kama tu viongozi wako, ndio maana wote mnaimba chorus ya kulaumu hali ya hewa. Mngekuwa wababe kama mnavoaminishwa serikali yenu ya dona kantrii ingekuwa na ubavu wa kusema wazi kwamba iliwazuilia. Get it Mr. Sisiemu Marionnette?

Ama kwa kweli Tanzania wamefeli sana kidiplomasia, wamerudi nyuma hadi wanatia aibu, kufukuza watu waliokuja kuhudhuria msiba ni jambo ambalo sijaliskia tena, hawa ndugu zetu wanateseka kwa chuki sio haba.
 
Ama kwa kweli Tanzania wamefeli sana kidiplomasia, wamerudi nyuma hadi wanatia aibu, kufukuza watu waliokuja kuhudhuria msiba ni jambo ambalo sijaliskia tena, hawa ndugu zetu wanateseka kwa chuki sio haba.
Mmafiki si mtu wa kucheka naye.nyinyi watu ni wapuu sana na mnaonekana katika hili.

Siku moja kabla rais wenu anaropoka tu kama kaachiwa kutoka kwenye uangalizi maalumu,na nyinyi mnacheka cheka tu, hamuelewi hata impact yake, kisha anatuma wawakilishi waje kuhani msiba.

Next time nakwambia kabla hajaamua kuzungumzia swala fulani lazima atafakari kwanza, hawezi kukurupuka tena.
 
Mbona umechanganyikiwa hivi? Mara sijui tatizo lilikuwa ni wajumbe waliotumwa, mara COVID, mara tena tujifunze eti sijui kutoka kwa hali ya hewa. Ndio maana nikasema wazi hapo mwanzoni kwamba ...iwapo ni kweli kwamba walizuiliwa... maamuzi hayo yalikuwa ya kiboya kupindukia. Naona unaelewa hilo, kama tu viongozi wako, ndio maana wote mnaimba chorus ya kulaumu hali ya hewa.

Mngekuwa wababe kama mnavoaminishwa serikali yenu ya dona kantrii ingekuwa na ubavu wa kusema wazi kwamba iliwazuilia. Get it Mr. Sisiemu Marionnette?
Huu ukanda hayupo pimbi yoyote wa kutusemesha, wewe mwenyewe unalifahamu hilo,ila unajaribu kujikaza hapa.

Tumewafukuza ndio, kama mna msuli kweli tangazeni kuwa tumewafukuza, hamuwezi mnaogopa.

Mlitaka kuja nchi yenye maambukizi zaidi ukanda huu ili mje kugundua kitu gani?
 
Kama ni kweli kwamba walizuiwa kutua Tz na kushiriki kwenye hafla yenyewe, basi jambo la ajabu mno kwenye kituko chenyewe ni hawa watz wanaounga mkono maamuzi ya kiboya kama hayo. Tena kutoka kwa viongozi wao wa ngazi za juu kabisa. Wakati wa msiba kama huo hata maadui wa kweli kabisa, ambao huwa wanaonesha chuki za wazi wazi, kwa mwendazake au jamii yake, huwa hawazuiwi kutoa heshima(au dharau) zao za mwisho. Hamna jipya lakini, isipokuwa muendelezo wa misamamo ambayo sio ya kushirikisha ubongo hata kidogo, kutoka kwa serikali na viongozi wa enzi hizi nchini Tz. Yaani ni kama kuna mtu ambaye alitamani sana kwamba mazishi yangekuwa ni yake yeye mwenyewe, ili aweze kufufuka ghafla na aanze kuwakomoa waliohudhuria hadharani mbele ya kadamnasi.
Mkuu Corona na wangekutana viongozi wetu. Wenyewe wakenya hawatembeleani kwa hofu ya kuambukizana Corona.wanataka kututembelea sisi kwanini sisi tuamini hawatuletei Corona Tena kwa elite wetu!kwao hawazikani kwa hofu ya kuambukizana kwanini waje kuzika kwetu. Waanze kuzikana kwanza then waende kwa jirani.
 
Kama ni hivi ni sawa tu! Maana madereva wetu wanapata tabu sana kuingia Kenya

Mkuu kama ni ivo basi ni aibu kwetu maana tuna behave kama watoto.

Hivi unakumbk issue ya kuwachomea kuku wakenya? Matokeo yake ilibidi tuwapewa Tausi kama ishara ya kuonesha urafiki,kuna mambo mengi tumekwama kwa Wakenya.

Madereva wa Tz wanarudishwa hata Uganda huko.
 
Mmafiki si mtu wa kucheka naye.nyinyi watu ni wapuu sana na mnaonekana katika hili.

Siku moja kabla rais wenu anaropoka tu kama kaachiwa kutoka kwenye uangalizi maalumu,nanyinyi mnacheka cheka tu,hamuelewi hata impact yake,kisha anatuma wawakilishi waje kuhani msiba.


Next time nakwambia kabla hajaamua kuzungumzia swala fulani lazima atafakari kwanza,hawezi kukurupuka tena.

Kimsingi tulitmiza wajibu wetu kwa msiba wa marehemu Mkapa, tumemuomboleza na pia tumetuma watu wetu kuja kuhudhuria japo kwa ushetani mlio nawo mkawafukuza, halafu naona mlifukuza hadi upinzani wa kwenu wasihudhurie.....hehehe MaCCM mnachekesha, yaani mnaweweseka hadi raha.
 
Kimsingi tulitmiza wajibu wetu kwa msiba wa marehemu Mkapa, tumemuomboleza na pia tumetuma watu wetu kuja kuhudhuria japo kwa ushetani mlio nawo mkawafukuza, halafu naona mlifukuza hadi upinzani wa kwenu wasihudhurie.....hehehe MaCCM mnachekesha, yaani mnaweweseka hadi raha.

Hao maharamia, na nyinyi wakora tofauti yenu ni mahali mliposimama ila nyie wote ni wamoja.

Mliposema tunnaipuuza corona itatuua vibaya nao waliitikia kwa shangwe wimbo wenu.

Saa hizi wao na nyingi mnafukia vichwa chini kwa aibu na kuacha matako juu.

Sijui mlikiwa mje mkae na akina nani wakati huku kuna corona.
 
Kimsingi tulitmiza wajibu wetu kwa msiba wa marehemu Mkapa, tumemuomboleza na pia tumetuma watu wetu kuja kuhudhuria japo kwa ushetani mlio nawo mkawafukuza, halafu naona mlifukuza hadi upinzani wa kwenu wasihudhurie.....hehehe MaCCM mnachekesha, yaani mnaweweseka hadi raha.

Hao maharamia,nanyinyi wakora tofauti yenu ni mahali mliposimama ila nyie wote ni wamoja.

Mliposema tunnaipuuza corona itatuua vibaya nao waliitikia kwa shangwe wimbo wenu.

Saa hizi wao na nyingi mnafukia vichwa chini kwa aibu na kuacha matako juu. Sijui mlikiwa mje mkae na akina nani wakati huku kuna corona.
 
JPM anamtesa saana uhuru wa kunyatta aise hamkawizi
Mmafiki si mtu wa kucheka naye.nyinyi watu ni wapuu sana na mnaonekana katika hili.

Siku moja kabla rais wenu anaropoka tu kama kaachiwa kutoka kwenye uangalizi maalumu,nanyinyi mnacheka cheka tu,hamuelewi hata impact yake,kisha anatuma wawakilishi waje kuhani msiba.


Next time nakwambia kabla hajaamua kuzungumzia swala fulani lazima atafakari kwanza,hawezi kukurupuka tena.
 
Mkuu, kama ni ivo basi ni aibu kwetu maana tuna behave kama watoto, hivi unakumbk issue ya kuwachomea kuku Wakenya? matokeo yake ilibidi tuwape Tausi kama ishara ya kuonesha urafiki,kuna mambo mengi tumekwama kwa Wakenya.

Madereva wa Tz wanarudishwa hata Uganda huko
Nini kuchoma kuku wagonjwa.../ je hao korona zilizokuwa zinakuja kutoka Kenya si zaidi ya magonjwa ya kuku washukuru uamuzi tulio chukua wa kuwafukuza wakiwa angani maana JWTZ ilikuwa tayari kuwa ethiopia hewani na hicho kidege chao tungekitungua na rocket kama waethiopia wanavyo Fanya hatutaki kuku Zenye korona huko komora096 Tony254 MK254
 
Amesema nani kwamba ni heshima ndogo? Mwendazake Mkapa familia yake au nani? Maanake hafla ilikuwa inamhusu yeye, sio Jiwe wala serikali ambayo jukumu lake ni usimamizi tu. Kiongozi wa walio wengi Seneti ambalo ni bunge la juu, Mh. Poghisio ni kiongozi wa ngazi za chini?

Vipi kuhusu ujumbe wa rais UK, siku tatu za maombolezi na bendera kupepea nusu mlingoti nchini Kenya? Hayo pia hayakutosha, au mlitaka sote tunyoe vichwa vyetu na tuvae matambara? Bure kabisa, unatatea upumbavu tu, akili finyu na maamuzi ambayo ni ya hadhi ya chini sana na ya aibu kubwa hata kwa wenyekiti wa minada au wa nyumba kumi.
Utasemaje msiba unahusu familia ya Mkapa tu wakati ni Rais mstaafu? Hii inaonesha jinsi mlivyo
 
Back
Top Bottom