Recent content by Champion_Boy

  1. Champion_Boy

    JamiiForums Tanzania Makonda: Asitokee mtu wa kuilaumu Serengeti Boys, kaa kimya kalale

    Tatizo mbogamboga wana Gundu
  2. Champion_Boy

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Khamenei mzima yuko kwenye medani anaongoza Vita.

    Wairani wapo wanashangiia kifochake
  3. Champion_Boy

    JamiiForums Tanzania Haya ndo majukumu ya Israel na Marekani kwenye vita dhidi ya Iran

    New York Times inaripoti kuwa Israel itajikita kulenga “maghala ya makombora ya Iran, vituo vya uzalishaji na launchers,” Huku Marekani ikitarajiwa kulenga “mradi wa nyuklia wa Iran na malengo mengine yanayohusiana na kikosi chenye nguvu cha Islamic Revolutionary Guard Corps pamoja na serikali.”
  4. Champion_Boy

    JamiiForums Tanzania Video Wananchi wa Venezuela Wakishangilia kukamatwa kwa Raisi wao na Marekani

  5. Champion_Boy

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wafadhili waanza kung'ata: EU wapiga kura na kuzuia Euro Milioni 156 kwa Tanzania

    Sasa yule anayejiita Kibarabara itakuwajeh
  6. Champion_Boy

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baraza la maaskofu Tanzania (TEC) mnatukosea sana wakatoliki

    Nilivyona hiyo Profile Picture ikabidi nibonyeze mstari wa kushuka chini faster kwenye Comment ni Comment kwamba Huo ni Ujinga kisha nitoke Faster
  7. Champion_Boy

    JamiiForums Tanzania GE2025 Duka la msanii Billnas lachomwa moto na Waandamanaji

    Wandamani wamechoma moto Duka la Nenga Tronix linalomilikiwa na msanii Billnas
  8. Champion_Boy

    JamiiForums Tanzania Mazungumzo ya Polepole - 29 Agosti 2025: Ufisadi wa Angela Kizigha, Rostam anavyoiibia nchi, Hujuma za Kikwete kwa Magufuli n.k

    Unaweza kufafanua Y HP?? Angalu ututoe tongo tongo
  9. Champion_Boy

    JamiiForums Tanzania Utafanyaje mtu akikuhisi wewe ni jinsia tofauti na ulivyo?

    Bado hujasema
  10. Champion_Boy

    JamiiForums Tanzania Msaada wa anayejua namna ya kudownload application kwenye Tv

    Au awe ana cust kwa simu kwenda kwenye tv
  11. Champion_Boy

    JamiiForums Tanzania Kenya yatupwa nje michuano ya CHAN 2024 na Madagascar kwa Mikwaju ya Penati 3-4

    Na Tanzania inatolewa kwa Goli 2
  12. Champion_Boy

    JamiiForums Tanzania Epuka Pombe na Sigara

    Hivi usha wahi tumia K vant au Konyagi kisha ukaenda kwenye show wewe?? Cha kuongeza ile ya kwanza unatoa nje halafu uje uniambie kama kuna shida ya nguvu ya kiume hapo
Back
Top Bottom