Recent content by Champion_Boy

  1. Champion_Boy

    Haya ndo majukumu ya Israel na Marekani kwenye vita dhidi ya Iran

    New York Times inaripoti kuwa Israel itajikita kulenga “maghala ya makombora ya Iran, vituo vya uzalishaji na launchers,” Huku Marekani ikitarajiwa kulenga “mradi wa nyuklia wa Iran na malengo mengine yanayohusiana na kikosi chenye nguvu cha Islamic Revolutionary Guard Corps pamoja na serikali.”
  2. Champion_Boy

    Video Wananchi wa Venezuela Wakishangilia kukamatwa kwa Raisi wao na Marekani

  3. Champion_Boy

    PostGE2025 Baraza la maaskofu Tanzania (TEC) mnatukosea sana wakatoliki

    Nilivyona hiyo Profile Picture ikabidi nibonyeze mstari wa kushuka chini faster kwenye Comment ni Comment kwamba Huo ni Ujinga kisha nitoke Faster
  4. Champion_Boy

    GE2025 Duka la msanii Billnas lachomwa moto na Waandamanaji

    Wandamani wamechoma moto Duka la Nenga Tronix linalomilikiwa na msanii Billnas
  5. Champion_Boy

    Msaada wa anayejua namna ya kudownload application kwenye Tv

    Au awe ana cust kwa simu kwenda kwenye tv
  6. Champion_Boy

    Epuka Pombe na Sigara

    Hivi usha wahi tumia K vant au Konyagi kisha ukaenda kwenye show wewe?? Cha kuongeza ile ya kwanza unatoa nje halafu uje uniambie kama kuna shida ya nguvu ya kiume hapo
  7. Champion_Boy

    Msaada wa hatua za kufuata ili kufanya Biashara ya Internet

    Hivi karibuni nimepata wazo la kufanya Biashara ya Internet ISP akiwa TTCL kwenye maeneo ya Sokoni au Center zenye watu wengi kwa kuweka WiFi mteja atalipia kwa njia ya Vocha (number maalumu) mfano kwa Masaa 12 kwa Sh 1000 au 500 kwa masaa 6 n.k Hivyo ni hatua gani za Kufata kwa kuanzia na eneo...
Back
Top Bottom