Habari Wadau,
Nilikuwa nina ofisi yangu sasa kutoka na kero ya umeme nataka kununua jenereta sasa sina uzoefu na majenereta kiujumla nilikuwa naomba msaada kwa wazoefu wa majenereta je ni aina gani nzuri ya jenereta naweza kununua kwaajil ya mahitaji ya ofisi yangu?
NB: Ofisi yangu ina laptop...
Wadau!!
Nimejaribu kufatlizia matatizo ya Gari yangu ya kula mafuta isivyo kawaida na nikapata Forum moja ya GAIA sasa kuna mtu ameshauri kama ifuatavyo -;
"A toyota gaia is a very good fuel server but usually when it starts consuming too much fuel eg 4kms/litre then its a simple problem and no...
Habarini wadau,
Nilikuwa naomba msaada wenu wa kimawazo nina gari aina ya Gaia inayotumia engine ya 3S sasa hii gari inakula mafuta sio kawaida, tumejaribu kuweka lita moja ya mafuta ikatembea kilometa 5.
Tumejaribu kubadilisha spark plug lakini tatizo bado lipo pale pale.
je tatizo linaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.