Safi sana ! Ila naomba
WEKA CV YAKO
UMEJIANDAAJE KUKABILIANA NA MWIGULU
UMEWEKEZA VIPI KWA WAPIGA KURA ...SIASA ZA NYUMBANI NI NGUMU SANA (SINA MAANA YA FEDHA )
MTANDAO WAKO WA WAPIGA KURA AU KUWASHAWISHI WAPIGA KURA WAKO UKOJE
NIJIBU HAYO TUSAIDIANE MAWAZO YA KUIKOMBOA IRAMBA!
Nimekusoma mkuu ! Nimeonwa yamemwagwa mwa thread ya udini hapa ya tangu 2008 ! Mimi siyawezi Hata dini yangu yenyewe inanipa shida za wengine nitaziwezaje ! Nimedadisi nimejifunza huo uchambuzi wa kidini ...najotoa!
Sijauliza Utumwa upo au ulikuwepo nataka kujua msimamao wa Waislam//Au Uislamu kuhusu hii phenomena ya BIASHARA YA UTUMWA ...NAONA POVU LINAKUTOKA ,ANGALIA MWENZIO ZAMIL ALIVYOJIBU KWA HEKIMA ...AFU UMEJUAJE MIMI NI MGALATIA!
Sina nia mbaya wala kutaka kuzusha malumbano !
Ila nataka kujua kama Uisilam ulishawahi kutoa tamko la kulaani biashara ya Utumwa! Natambua kuwa kuna dini nyingine zimewahi kufanya hivyo kama Wakristo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.