Biashara ya Utumwa ililetwa na nani hapa kwetu?

Kumbe ni muAnglikana ndio maana umetetea kwa nguvu zako zote, my friend you are a victim of being highly brain-washed.

Mkristu anasali katika kanisa lolote. Nimesali katika makanisa ya Anglikana, Luteri,Roman na mengineyo. Kusali Mkunazini haina maana kuwa mimi ni muAnglikana. Pamoja na kuwa mimi ni mkristu, Iddi iliyopita nilienda msikitini. Nimeomba kwenye temple za wahindu na jains. Nimetembelea stupa za mabuddhist. Nimesali kwenye msikiti wa maBaha'i. Mimi sichukii dini yeyote kama wewe. Mimi naamini wote tutahukumiwa kwa jinsi tunavyoishi na majirani zetu hapa duniani na si dini tuifuatayo.

Inaelekea haujafika hapo unapozungumzia. Nakushauri ubaki na kiarabu, hiyo lugha ya makafiri bado inakupa matatizo. Mtu hawi victim of brain-washed. Mtu anakuwa brain-washed, period. Ndiyo maana hizo website unazitumia bila kuzielewa! Kwa vile tuko hapa kuelimishana, sentensi sahihi ingekuwa: my friend, you have been brain-washed!
 
...Sasa kwa nini nimeileta hapa? Hapa kinachonitatiza si suala la dini, ni hilo la historia yangu. historia ya wale walionitangulia, waliokamatwa, kubebeshwa mizigo na hatimaye kuuzwa kama punda na hao waliojiona kuwa ni waungwana. Uandikishaji upya wa historia ndiyo mwanzo wa kuweka mizizi ya chuki katika sehemu moja ya jamii yetu. Kama hao, ambao ni wachache, ndio waliosababisha babu zetu kuuzwa kwa nini tusibebe mawe na kuwavurumusha?
...[/FONT]

...kwa mujibu ya wanahistoria, hata barani afrika kabla wakoloni hawajaja kutugawa na kuwa Tanganyika, Rhodesia, Nyasaland et al, waafrika wenyewe kwa wenyewe walikuwa wanachukuana watumwa huko kwenye enzi za machifu na vita vya wenyewe kwa wenyewe!

Ni ujinga wa mwafrika mwenyewe pale machifu wa nyakati hizo walipoamua 'kuwauza' watumwa waliowakamata kwa thamani ndogo ya vitu vilivyokuwa vigeni machoni mwao, mfano ; kioo za kujiangalia, kofia, mkongojo, na hata paka wa kukamatia panya!

Mwafrika licha ya kuifanya bashara ya utumwa, pia alichangia mwenyewe kuikuza biashara hiyo!
 
Mtu aliyeanzisha hii thread amekusudia kudhihaki dini anayotofautiana nayo. Kwa wale wenye nia ya kuelewa na kuepuka ujinga wa kubishana kishaabiki, hili suala la biashara ya utumwa halikuanzishwa na dini ya kiislam wala kikristo. Watumwa walikuwepo kabla ya uislam au ukiristo. Suala hapa ni kuchunguza misaafu, hadithi, sira na matendo ya waasisi wa hizo dini kuona kama wao binafsi walijihusisha na utumwa au la. Ukichunguza utagundua kuwa mtume mohamed alimiliki watumwa na Wafuasi wake walimiliki watumwa vilevile. Ukiangalia declaration ya kukomesha utumwa duniani, baadhi ya nchi za kiislam hazija -ractify hilo azimio, saudi arabia imefanya hivyo miaka ya hivi karibuni. Kwa upande wa wakiristo, Yesu hakumiliki watumwa, kati ya wanafunzi wake 12 hakuna hata mmoja aliyemilki mtumwa, actually waliacha familia zao na kwenda nchi za mbali kuhubiri habari njema ya ufalme na wote waliuwawa na wapinga dini.

Modern slave trade iliyofanyika barani Afrika, ilikuwa na outlets mbili yaani magharibi na mashariki. Watumwa wengi walienda mashariki kuliko magharibi, lakini wengi waliokwenda mashariki walikufa au kuhanisiwa ili wasizaliane matokeo yake waliokwenda magharibi wengi walibahatika kuishi. Wengi wa watumwa waliokwenda magharibi walichukuliwa kutoka nchi za magharibi mwa afrika.

Watumwa wa afrika mashariki wengi walipelekwa uarabuni, hadi leo mwarabu anamwita mtu mweusi abdu au abdi yaani mtumwa. Walikuwa ni wengi kiasi cha kutishia stability ya serkali za kiarabu enzi hizo. Kwa ajili ya ukatili na mauaji waliyofanyiwa leo watu weusi hawapo wengi uarabuni kulinganisha na walioko amerika. Ndo maana watu wasio na ufahamu mpana wanadhani watumwa walipelekwa nchi za wazungu tu kwa vile ndiko kuliko weusi vizazi vya watumwa wengi.
 
Mtu aliyeanzisha hii thread amekusudia kudhihaki dini anayotofautiana nayo. Kwa wale wenye nia ya kuelewa na kuepuka ujinga wa kubishana kishaabiki, hili suala la biashara ya utumwa halikuanzishwa na dini ya kiislam wala kikristo. Watumwa walikuwepo kabla ya uislam au ukiristo. Suala hapa ni kuchunguza misaafu, hadithi, sira na matendo ya waasisi wa hizo dini kuona kama wao binafsi walijihusisha na utumwa au la. Ukichunguza utagundua kuwa mtume mohamed alimiliki watumwa na Wafuasi wake walimiliki watumwa vilevile. Ukiangalia declaration ya kukomesha utumwa duniani, baadhi ya nchi za kiislam hazija -ractify hilo azimio, saudi arabia imefanya hivyo miaka ya hivi karibuni. Kwa upande wa wakiristo, Yesu hakumiliki watumwa, kati ya wanafunzi wake 12 hakuna hata mmoja aliyemilki mtumwa, actually waliacha familia zao na kwenda nchi za mbali kuhubiri habari njema ya ufalme na wote waliuwawa na wapinga dini.

Modern slave trade iliyofanyika barani Afrika, ilikuwa na outlets mbili yaani magharibi na mashariki. Watumwa wengi walienda mashariki kuliko magharibi, lakini wengi waliokwenda mashariki walikufa au kuhanisiwa ili wasizaliane matokeo yake waliokwenda magharibi wengi walibahatika kuishi. Wengi wa watumwa waliokwenda magharibi walichukuliwa kutoka nchi za magharibi mwa afrika.

Watumwa wa afrika mashariki wengi walipelekwa uarabuni, hadi leo mwarabu anamwita mtu mweusi abdu au abdi yaani mtumwa. Walikuwa ni wengi kiasi cha kutishia stability ya serkali za kiarabu enzi hizo. Kwa ajili ya ukatili na mauaji waliyofanyiwa leo watu weusi hawapo wengi uarabuni kulinganisha na walioko amerika. Ndo maana watu wasio na ufahamu mpana wanadhani watumwa walipelekwa nchi za wazungu tu kwa vile ndiko kuliko weusi vizazi vya watumwa wengi.

‪Muslim Slavery Still Exists!!!‬‏ - YouTube
 
tafuta kitabu hiki ndio utajua history yote,The Sultan's Shadow by Christiane Bird
 
Sina nia mbaya wala kutaka kuzusha malumbano !
Ila nataka kujua kama Uisilam ulishawahi kutoa tamko la kulaani biashara ya Utumwa! Natambua kuwa kuna dini nyingine zimewahi kufanya hivyo kama Wakristo!
 
Sina nia mbaya wala kutaka kuzusha malumbano !
Ila nataka kujua kama Uisilam ulishawahi kutoa tamko la kulaani biashara ya Utumwa! Natambua kuwa kuna dini nyingine zimewahi kufanya hivyo kama Wakristo!
Ndugu Mpendwa...,
Uislam hainaga kitu au neno TAMKO kabisa!! UISLAM ni matendo yako duniani, na hesabu yako akhera !!

Kwa habari, elimu zaidi na mafunzo bora karibu 24/7 !!
 
Sina nia mbaya wala kutaka kuzusha malumbano !
Ila nataka kujua kama Uisilam ulishawahi kutoa tamko la kulaani biashara ya Utumwa! Natambua kuwa kuna dini nyingine zimewahi kufanya hivyo kama Wakristo!

Umesahau hata Wayahudi walikuwa watumwa! ?.... ......Musa aliwakomboa utumwani.
Utumwa ulikuwepo hata wakati wa Yesu.
Ukiwa mtumwa na baadae ukasilimu, basi wewe si mtumwa tena.
Machifu wa Tanganyika pia wameshiriki biashara ya utumwa. Shida Wagslatia elimu yenu ni ya wizi na kupunga mapepo
 
Sijauliza Utumwa upo au ulikuwepo nataka kujua msimamao wa Waislam//Au Uislamu kuhusu hii phenomena ya BIASHARA YA UTUMWA ...NAONA POVU LINAKUTOKA ,ANGALIA MWENZIO ZAMIL ALIVYOJIBU KWA HEKIMA ...AFU UMEJUAJE MIMI NI MGALATIA!
Umesahau hata Wayahudi walikuwa watumwa! ?.... ......Musa aliwakomboa utumwani.
Utumwa ulikuwepo hata wakati wa Yesu.
Ukiwa mtumwa na baadae ukasilimu, basi wewe si mtumwa tena.
Machifu wa Tanganyika pia wameshiriki biashara ya utumwa. Shida Wagslatia elimu yenu ni ya wizi na kupunga mapepo
 
Sijauliza Utumwa upo au ulikuwepo nataka kujua msimamao wa Waislam//Au Uislamu kuhusu hii phenomena ya BIASHARA YA UTUMWA ...NAONA POVU LINAKUTOKA ,ANGALIA MWENZIO ZAMIL ALIVYOJIBU KWA HEKIMA ...AFU UMEJUAJE MIMI NI MGALATIA!

..........Mgalatia pekee ndio anaweza kuuliza swali hilo, kwani Muislaam yeyeote anajua watu wa mwanzo mwanzo kuukubali Uislaam walikuwa watumwa.
Na alikuwepo Sahaba Abubakar Bin Sidiq akiwalipia pesa za kuwakomboa baadae ya Mabwana zao kujua wamejiunga na Waislaam. Yupo Tajiri mmoja alimwamwimbia Mtume Muhammad SAW kuwa ataka kusilimu, ila tatizo lake ni hao watumwa kuwa nao karibu !
Hivyo Uislaam ulikuwa unakomboa watu Utumwani.

Grave- Rich&Poor.JPG Jamaa na Ubaguzi.JPG

Anavyozikwa Tajiri hakuna tofauti na Maskini/Mtumwa katika Uislaam, na tukiswali tunasimama pamoja !

Sala- Italy Ctdrh.JPG

Hapo ni Italy na pembeni ni Kanisa Kuu ! CHAMA NA MOGELA
 
Last edited by a moderator:
Nimekusoma mkuu ! Nimeonwa yamemwagwa mwa thread ya udini hapa ya tangu 2008 ! Mimi siyawezi Hata dini yangu yenyewe inanipa shida za wengine nitaziwezaje ! Nimedadisi nimejifunza huo uchambuzi wa kidini ...najotoa!
..........Mgalatia pekee ndio anaweza kuuliza swali hilo, kwani Muislaam yeyeote anajua watu wa mwanzo mwanzo kuukubali Uislaam walikuwa watumwa.
Na alikuwepo Sahaba Abubakar Bin Sidiq akiwalipia pesa za kuwakomboa baadae ya Mabwana zao kujua wamejiunga na Waislaam. Yupo Tajiri mmoja alimwamwimbia Mtume Muhammad SAW kuwa ataka kusilimu, ila tatizo lake ni hao watumwa kuwa nao karibu !
Hivyo Uislaam ulikuwa unakomboa watu Utumwani.

View attachment 247582View attachment 247583

Anavyozikwa Tajiri hakuna tofauti na Maskini/Mtumwa katika Uislaam, na tukiswali tunasimama pamoja !

View attachment 247585

Hapo ni Italy na pembeni ni Kanisa Kuu ! CHAMA NA MOGELA
 
Nimekusoma mkuu ! Nimeonwa yamemwagwa mwa thread ya udini hapa ya tangu 2008 ! Mimi siyawezi Hata dini yangu yenyewe inanipa shida za wengine nitaziwezaje ! Nimedadisi nimejifunza huo uchambuzi wa kidini ...najotoa!

.....kwa njia ambayo umeweka swali lako, kuna kitu unaamini juu ya Uislaam na Utumwa. Ndio maana ukadai tamko na kuendelea katika maelezo yako kuwa Ukiristo ulitoa TAMKO.
Sasa umejua kuwa kimsingi Uislaam umejengwa na Watumwa ! CHAMA NA MOGELA
 
Last edited by a moderator:
Mkristu anasali katika kanisa lolote. Nimesali katika makanisa ya Anglikana, Luteri,Roman na mengineyo. Kusali Mkunazini haina maana kuwa mimi ni muAnglikana. Pamoja na kuwa mimi ni mkristu, Iddi iliyopita nilienda msikitini. Nimeomba kwenye temple za wahindu na jains. Nimetembelea stupa za mabuddhist. Nimesali kwenye msikiti wa maBaha'i. Mimi sichukii dini yeyote kama wewe. Mimi naamini wote tutahukumiwa kwa jinsi tunavyoishi na majirani zetu hapa duniani na si dini tuifuatayo.

Inaelekea haujafika hapo unapozungumzia. Nakushauri ubaki na kiarabu, hiyo lugha ya makafiri bado inakupa matatizo. Mtu hawi victim of brain-washed. Mtu anakuwa brain-washed, period. Ndiyo maana hizo website unazitumia bila kuzielewa! Kwa vile tuko hapa kuelimishana, sentensi sahihi ingekuwa: my friend, you have been brain-washed!

shule nzuri mkuu,mwenye masikio na asikie
 
Back
Top Bottom