Hapana. Ila kwa baadhi ya nchi ni moja ya kiashiria chenye nguvu sana. Na pia soko la hisa kwamfano NYSE au NASDAQ etc ni kisababishi cha kushika au kupanda kwa currency zenye nguvu duniani kama USD etc. Ila kwa Tanzania bado soko lipo chini kiuwezo so halina impact kubwa sana. But linaashiria...
Katika mabadiliko yoyote lazima kuna watakao athirika. Yes we safer lakini jamaa kajitaidi mambo mengi. Kaokoa fedha nyingi sana. Nchi hii ilikuwa imefika mahali pabaya sana. Tulikuwa tunaelekea enzi za Zimbabwe kubeba fedha kwene viroba. Watu tulikuwa hatuzalishi ila hela inapatikana. Mtu...
Number never lie brother. Washughulikiwe wale waliotoa riport ya DSE. Riport inatolewa ili stakeholders wapate kujuwa maendeleo
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Watu huwa wanaongea tayari wana wazo la kibiashara likiwa limeandikwa (Bisiness Plan). That is the communication to fund providors
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Really? Hayo yametoka moyoni mwako? Wajuwa soko la hisa linaingiza bei gani ya foreign currency. Lazima tuweze pendekeza namna ya kuliokoa soko siyo kusema kwa ushabiki lifungwe. Humu ndani kuna potential leaders they can have your good advice
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Sory hapo kwene ushauri wa PILI, nimechanganya maelezo. Ni hivi ....siyo kwamba tunatakiwa kukumbuka yaliyopita ili yatutie woga na wasiwasi na kukata tamaa , Bali tunayakumbuka ili tujifunze tulipokosea na kutuimarisha zaidi tusiyarudie makosa hayo.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.