kama kawaida kama nilivyosema hapo awali kwa wale waliositishiwa ajira zao wajiandae muda wowote kuitwa sasa kuanzia tarehe 15 mwezi huu hadi tarehe 25 mwezi huu jiandae kurudi maeneo yenu mliokuwepo mwanzo! proof
wale wote waliositishiwa ajira zao mwaka jana na hawakuwa wamepata cheki no. soon mambo yatakuwa ok kaeni mkao wa kula! mana waliokuwa na cheki no. tayari walisharudi tangu mwaka jana mwezi 11! it is now time 4 u! get prepared
wote waliokuwa kwenye ndani ya ofisi za halmashauri tofautitofauti na tayari walikuwa walishapewa chek no. wakati termination inatokea! mfano wahasibu, wakaguzi wandani, watu wa idara ya maji, maafisa utumishi, sheria, watendaji wa kata nk.
wewe kweli hauna akili hata kidogo ndio maana unaambiwa kitu kama haukijui uliza uelimishwe na sio kutoa maneno yanayoweza kukutia aibu baadae baada ya kujua! do you know the meaning of official/confidential document? sasa kwa taarifa yako muulize yoyote ambae alikuwa tayari alikuwa...
unajua tatizo lako unaamini maandishi kuliko oral! nimekufuatilia sana hii mada umeipeleka mpaka facebook kama ilivyo hivyo hivyo kwenye page ya TETESI ZA AJIRA MPYA umekosolewa na kupingwa vikali na wale walioona jana ummy akiongeana ukaamua kukimbilia huku kuzidi kudanyanya watu! lazima...
tatizo lako huna akili na utaki kujifunza na sina hata muda wa kujuana na wewe kama usemavyo wewe! unapoandika ujinga wa kupotosha umma na kuwakatisha wenzako tamaa kwa uongo wako lazima ukosolewe na upingwe vikali! wewe unaamini maandishi yaliyoandikwa kuliko kuamini sisi tuliyoona tangazo la...
Kweli leo ndio nimejua kuna watu wajinga na wanaosema uongo nilikuwaga nasikia tu! hivi wewe ulie andika hii post una akili timamu kweli? hakuna ambae hakusikia au hakuona ile taarifa ya ITV wakati alipokuwa akiongea waziri wa afya Mh. Ummy mwalimu jana! nanukuu alichosema jana "madaktari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.