LTN USU WA MADOSO
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,193
- 859
bora waturudishe tu hata wasipotupa arrears poa tuIla sasa kuhusu arrears ndio hakuna......tusahau
bora waturudishe tu hata wasipotupa arrears poa tuIla sasa kuhusu arrears ndio hakuna......tusahau
mtalipwa huu mwezi mshahara wa kwanzaNa je watatulipa kweli kuanzia april hii au ndio watatuweka vituoni hadi mwezi wa saba bajeti mpya ndio waanze kutulipa .....afu mishahara ya kuanzia april ndio watulipe kama arrears
Wapi kuna mkataba? Serikalini au private?Tushaanza kurudi tangu juzi jumanne,na mwisho wa kuingiza watu ni jumatatu 9/4...Mimi nimesaini mkataba Jana ,mkataba mpya!
Hivi inawezekana watu mkaajiriwa tarehe moja na mkapangiwa kituo kimoja afu mmoja akawa na applicant no mwengine akakosa?Wanaita tu wenye applicant no, kwa yeyote anayejua kuhusu wasio na applicant mambo yamekaaje wakuu
Applicant no ndio nn mkuuni wale wenye applicant No ndo wanaitwa
hiyo haiwezekani labda kama mulijaza mikataba tofauti harafu applicant no ndio nn Mkuu unaipatajeHivi inawezekana watu mkaajiriwa tarehe moja na mkapangiwa kituo kimoja afu mmoja akawa na applicant no mwengine akakosa?