Kuna nafasi TANROADS walizozitangaza tangu mwezi wa 6, 2025 kupitia Utumishi kuna mwana nilimuazima laptop yangu kwa ajili ya kufanya maomba juzi kati naonana nae namuuliza vipi interview anasema bado hawajaitwa.
Mpaka leo mwana hajaitwaa kwa ajili ya Interview, Je ni kiini macho au wanasubiri...
Wajuvi wa Mambo, Kwani secretarieti ya Ajira hawajui kuwa USTAWI WA JAMII kwa kimombo ni sawa na SOCIAL WORK ? Maana Mshikaji wangu ana sifa sawa na tangazo la ajira (AFISA MLEZI WA WATOTO DARAJA LA II) lakini akiingia kwenye mfumo , Mfumo unamkatalia, nikajua anakosea nikamwambia ngoja niweke...
Dogo hiyo elimu ya saving uliyoipata isikufanya ukawa kipofu, shukuru Mungu kwa kuwa neema imekufikia ila usilaumu kwa wale walioshindwa kulipa hiyo ada, hiyo hela ambayo unasema watu kwa siku au kwa mwezi wange-save ndio hiyo hela watu kwa siku ndio anaitumia kwa ajili ya chakula kwa siku.
Je...
Sasa hapa naanza kuamimi ile kauli ya kiburi "Mimi siongei na Mbwa, naongea na Mwenye Mbwa".
Mara paaaaa Mbwa akachukua RUNGU, mara chikuchikuotae anaanza kulia.
Walikuwa wanasema social development wao walikuwa wanakisoma kama kijisehemu kidogo tu ndani ya social work. Kama mtahiniwa anatarajia kuajiriwa kama social worker unampimaje kwa maswali yote ya social development ilhali hizo nafasi ni kwa ajili ya social worker?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.