Recent content by Chakula Kibaya

  1. Chakula Kibaya

    Unahitaji Huduma ya Aluminium na UPVC?

    Kazi nzuri sana
  2. Chakula Kibaya

    Zijue hatua za uwekaji wiring ya umeme katika jengo lako kadri ujenzi unavyoendelea

    Nimeamua kutumia hii hii na naamin itanisaidia.
  3. Chakula Kibaya

    CAF Confederation Cup yafutwa. Msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

    Anataka kutoa utawala wa waarabu kwenye soka la Afrika.
  4. Chakula Kibaya

    Points 10 za ujenzi: Unyevu/damp katika jengo

    Nashukuru sana mkuu,itakuwa na msaada mkubwa kwangu. Kuna muda Hadi huwa namwambia jamaa yangu kuwa najuta Sana kujenga bila ya kufanya upembuzi yakinifu.
  5. Chakula Kibaya

    Points 10 za ujenzi: Unyevu/damp katika jengo

    Nashukuru sana mkuu,je Kuna dawa yoyote napaswa kuchanganya na cement wakati wa kupiga plaster?kama jibu ni ndiyo,je ni dawa Gani inafaa zaidi? Maana mafundi wanatuchanganya sana.
  6. Chakula Kibaya

    Points 10 za ujenzi: Unyevu/damp katika jengo

    1. Sina ukuta uliona karibu na jengo langu ingawa nitakapojenga fence upande Mmoja fence itakuwa karibu na nyumba Kwa upana wa 1.5metres. 2. Hakuna mtu uli karibu. 3. Hapana. 4.Hapana. 5.hapana. 6.hapana ila aina ya udongo wake ni mfinyanzi.
  7. Chakula Kibaya

    Fahamu jinsi ya kuchagua TV nzuri itakayokufaa kabla hujanunua

    Huu Uzi nautunza Kwa matumizi ya baadae
  8. Chakula Kibaya

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kwakuwa hujasema saa 20:00 ya siku gani basi nafikiri ni jumapili ijayo maana ya Leo imeshapita.😅😅
  9. Chakula Kibaya

    Hizi bei za mabati zinanichanganya, nipeni muongozo

    Zinatofautiana. Ukinunua bati ya special meter inamaanisha kuwa unaenda na vipimo vyako kiwandani wanakata kulingana na vipimo vya nyumba Yako tofauti na hizi ambazo unakuta tayari wameshazikata mita 3(futi 10).
  10. Chakula Kibaya

    Hizi bei za mabati zinanichanganya, nipeni muongozo

    Yeah hapo inamaana kuwa walikuuzia bati Kwa bei ya special meter na siyo bati Zima la mita tatu.
  11. Chakula Kibaya

    Hizi bei za mabati zinanichanganya, nipeni muongozo

    Mkuu hizo bei ni Kwa meter square Moja. mfano kama unataka bati la mita 3 basi zidisha hiyo bei ya mita moja Kwa tatu ndipo unapata bei halisi ya bati Moja la mita 3(futi 10). Let's say 24,100×3= 72,300/= Kwa bei ya bati Moja.
  12. Chakula Kibaya

    Points 10 za ujenzi: Unyevu/damp katika jengo

    Mkuu,kwanza Asante sana Kwa elimu nzuri uliyotupatia. Ingawa nilichelewa kuijua hii kabla sijajenga lakini bado sijachelewa sana. Naomba unisaidie hili,nimejenga nyumba yangu kwenye udongo wa mfinyanzi na nililoweka ni Ile nylon nyeusi kwenye msingi kabla ya tofali,Sasa naelekea kupiga plaster...
  13. Chakula Kibaya

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Insider katutelekeza. Eid ingenoga sana endapo angeshusha episodes mbili.
  14. Chakula Kibaya

    Waliowahi kupotelewa na ndugu au mtu wa karibu mje mtupe experience

    Bro, hata mimi Nina bro wangu aliondoka tangu 2001 hatukujua Yuko wapi Hadi 2017 tulipigiwa simu na mtu kuwa ndugu yetu Yuko kibaigwa(wilaya ya kongwa) nilimfuata nikamrudisha nyumbani lakini alikaa mwezi Mmoja tu akatoroka kuanzia hapo hatujawahi kumuona tena. Huwa akionwa na mtu yoyote...
Back
Top Bottom