Nashukuru sana mkuu,itakuwa na msaada mkubwa kwangu. Kuna muda Hadi huwa namwambia jamaa yangu kuwa najuta Sana kujenga bila ya kufanya upembuzi yakinifu.
Nashukuru sana mkuu,je Kuna dawa yoyote napaswa kuchanganya na cement wakati wa kupiga plaster?kama jibu ni ndiyo,je ni dawa Gani inafaa zaidi? Maana mafundi wanatuchanganya sana.
1. Sina ukuta uliona karibu na jengo langu ingawa nitakapojenga fence upande Mmoja fence itakuwa karibu na nyumba Kwa upana wa 1.5metres.
2. Hakuna mtu uli karibu.
3. Hapana.
4.Hapana.
5.hapana.
6.hapana ila aina ya udongo wake ni mfinyanzi.
Zinatofautiana. Ukinunua bati ya special meter inamaanisha kuwa unaenda na vipimo vyako kiwandani wanakata kulingana na vipimo vya nyumba Yako tofauti na hizi ambazo unakuta tayari wameshazikata mita 3(futi 10).
Mkuu hizo bei ni Kwa meter square Moja. mfano kama unataka bati la mita 3 basi zidisha hiyo bei ya mita moja Kwa tatu ndipo unapata bei halisi ya bati Moja la mita 3(futi 10). Let's say 24,100×3= 72,300/= Kwa bei ya bati Moja.
Mkuu,kwanza Asante sana Kwa elimu nzuri uliyotupatia. Ingawa nilichelewa kuijua hii kabla sijajenga lakini bado sijachelewa sana.
Naomba unisaidie hili,nimejenga nyumba yangu kwenye udongo wa mfinyanzi na nililoweka ni Ile nylon nyeusi kwenye msingi kabla ya tofali,Sasa naelekea kupiga plaster...
Bro, hata mimi Nina bro wangu aliondoka tangu 2001 hatukujua Yuko wapi Hadi 2017 tulipigiwa simu na mtu kuwa ndugu yetu Yuko kibaigwa(wilaya ya kongwa) nilimfuata nikamrudisha nyumbani lakini alikaa mwezi Mmoja tu akatoroka kuanzia hapo hatujawahi kumuona tena. Huwa akionwa na mtu yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.