naunga mkono adhabu ya kunyogwa mpaka kufa tena ilibidi kuambatanisha adhabu mbili mateso makali kisha kunyongwa hadi kufa japo watu wa haki za binadamu wanapingana na hili nao wanatakiwa kuja na solution nzuri ambayo itazuia au kupunguza makosa ya mauji lakini hili la kifungo cha maisha...
kuruhusu utoaji mimba ni ukiukaji wa haki za binadamu kwani mimba inapotungwa tu uhai wa binadamu ndipo unapoanza thats why kuna matukio huwa tunasikia mtoto amefia tumboni this means that maisha yanaanzia tumboni
Kuhusu circumstance kama upatikanaji wa mimba kwa kubakwa haimanishi mwanamke...
no uelewa unakua kwa kasi sana, hii inatokana na kuona azi yale yalio kua yakipigia kelele na CHADEMA dhidi ya CCM yakitukia live na ugumu a maisha ukikua kwa kasi ya ajabu kwa sisi wanamapinduzi tunaungana kwa hali na mali na CHADEMA kuendelea na harakati ya kweli ya ukombozi wa TAIFA letu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.