Recent content by chaiza

  1. chaiza

    Tuhuma za Ukabila: Wasukuma si Miongoni mwa Makabila yenye Ukabila, tatizo ndio walio wengi!

    Unatumia nguvu nyingi kumtetea MTU ambaye hawezi kujitetea. Kila tamko lina ukakasi. Kumpaka kwako rangi yeupe wakati yeye mweusi hakukusaidii.
  2. chaiza

    Tundu Antipas Lissu: Historia na harakati zake katika siasa za Tanzania...

    This guy is smart. Get well soon
  3. chaiza

    Lissu: Si mara ya kwanza tunaahidiwa kuwekewa mikataba wazi. Kumuunga mkono Rais si lazima

    Lisu the only Tanzanian anayeweza kudadavua kwa data na evidence za kufa MTU. Nakuadmire sana. Mtanzania pekee awezae kukosoa mkuu was kaya
  4. chaiza

    UTEUZI: Rais Magufuli amteua Anna Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro

    Alisema kweli kwani hao alioteua siyo wapinzani
  5. chaiza

    Mapya yaibuka: Maafisa wa TMAA walipewa hela ili Smelter isijengewe Tanzania

    Kujenga smelter in rahisi. Mbona Zambia copper yao wanayeyusha pale Ndola. TZ misomi mijizi sana. Magu nampa big up
  6. chaiza

    Je, Rais Magufuli hakuyaona haya alipokuwa mbunge/waziri?

    Angepinga asingekuwa raisi Leo angepinga
  7. chaiza

    Ukiondoa sababu ya kutoelewana na Reginald Mengi, sijaona sababu ya Prof. Muhongo kung'oka

    Ahahaha tangu sasa sitasoma mwamini huyu kiumbe lizaboni. So pathetic
  8. chaiza

    Je, Man united kucheza UEFA Champions League endapo itatwaa kombe la Europa?

    Good memorysame did sekee,³,3, set tHDZ as zero and zfxz
  9. chaiza

    Waziri Angela Kairuki: Uhakiki wa vyeti haujafanywa kwa Viongozi walio katika nafasi za kisiasa!

    Hanna kitu kibaya kama double standard. Not fair at all
  10. chaiza

    Natafuta stationery salon ya kiume za kununua Mpanda mjini

    Nenda mtaa wa simba muone frank
  11. chaiza

    Ni sahihi Rais kuponda vyuo vingine?

    In short rais wetu is not fair to all his children. Anajisahau sahau sana hajitambui kuwa yeye ni baba wa wote
  12. chaiza

    Tukiacha MA DC na MA RC labda na baadhi ya Mawaziri , kuna mwingine anaiunga mkono CCM kwa sasa ?

    Ahahaha. Maisha uzuri wake hayachagua kuwa wewe ni ccm au chadema. Sera zikiwa mbaya sote tuna safa
Back
Top Bottom