Kwa swali la kwanza waulize Tiss na Lubuva na kama ni kulipa ni Mimi , wewe , watoto na wajukuu wetu, huwezi kukwepaKama alishiriki kupitisha mikataba hovyo tumwaminije sasa ivi??
Je haya madhara ya kuivunja kama ikibidi unadhani atalipa yeye au mimi na wewe?
Hata yeye angeshinda angekuwa raisi.....kwa pia tungekuwa na raisi mwingine muoga au sio..!!?Wote ni waoga...!! Lakini huyu mmoja ndiye rais hapo unasemaje mkuu??
Sasa hii ina maana gani?? Double standard au?? Ukigeu geu??Angepinga asingekuwa raisi Leo angepinga
Mkuu;
Ningependa kusema hivi;
Magufuli aliyaona haya yoote ila hakuyapenda.
Hapo unaongelea kitu ambacho hakipo! Mimi naongelea rais ambaye tunaye sasa ivi na sio Lowassa!!Hata yeye angeshinda angekuwa raisi.....kwa pia tungekuwa na raisi mwingine muoga au sio..!!?
Mbona wengine tuliwaamini pamoja na kutusainia mikataba mibovu inayoutaghalimu mpaka sasa....!!??Kama alishiriki kupitisha mikataba hovyo tumwaminije sasa ivi??
Je haya madhara ya kuivunja kama ikibidi unadhani atalipa yeye au mimi na wewe?
Mzee kipindi hicho alikuwa analinda ugali wake...angejitia kifront front labda leo asingekuwa na hiyo nafasi...Lakini mwisho wa siku mi naona haya ni maigizo tuu..hichi hichi kibao sijui kama hakita tugeukia..kama yale ya samaki!!!!!Kwanza nianze kwa kusema nnaumia sana kuona makaburu wakijinufaisha na rasilimali zetu huku mzawa akipata shida zisizo na ulazima.
Lakini nnajiuliza haya...
Hii mikataba ya madini wakati inasainiwa magufuli si alikua waziri? Si alikua mbunge? Kwanini alikaa kimya kipindi hicho?
Wakati mikataba hii inasaini Rais Magufuli si alikua mbunge? Kwanini asingetoa wazo mikataba hii ijadiliwe bungeni? Lakini cha kushangaza kwanini alikaa kimya kama mbunge?
Je ni mikataba mingapi ya hovyo alipitishwa bungeni yeye akiwa mbunge na alikua mstari wa mbele kusema NDIO huku akizani anawakomoa CHADEMA?
Kwanini kipindi hicho asingeikataa kama kweli alikua na nia ya kuipigania nchi?
Ni mara ngapi mkiwa bungeni akina zitto na mnyika waliwaonya juu ya hii mikataba mkawapuuzia?
Sasa tayari mikataba imesainiwa na kama hujui tu hamna mkataba unavunjwa bila kumlipa mzungu uliyewekeana nae makubaliano.
Nitoe tu angalizo... HAWA WABUNGE WA CCM WANAOSEMA NDIOOOOO NA KUPIGA MEZA BILA KUJUA MADA NDIO WAMETUFIKISHA HAPA! Na bado tutayaona mengi.
Angalizo tu..haya ya ACCACIA yasije kuwa kama Dowansi na akina Escrow!
Mungu ibariki Tanzania!
Ndio maana nasema hawa wabunge wanapiga makofi wakizani wanawakomoa ukawa na upuuzi mtupu!! Hata yeye alikua waziri na mbunge na alikua mstari wa mbele kupiga makofi na sasa ivi ndio anajua alikosea!!Mzee kipindi hicho alikuwa analinda ugali wake...angejitia kifront front labda leo asingekuwa na hiyo nafasi...Lakini mwisho wa siku mi naona haya ni maigizo tuu..hichi hichi kibao sijui kama hakita tugeukia..kama yale ya samaki!!!!!
Kwa hiyo ulitaka kwa kuwa alishiriki kuisaini kama waziri basi angetakiwa aache tu asichukue hatua..!!??Hapo unaongelea kitu ambacho hakipo! Mimi naongelea rais ambaye tunaye sasa ivi na sio Lowassa!!
Kama aliyaona haya na akakaa kimya kwa woga je tumuaminije???
Na abadili sura namba 46, kifungu cha 3 ya katiba ya JMT. Hiki kinatoa kinga kwa mtu aliyeshika madaraka ya Urais kushitakiwa mahakamani, akiwa madarakani na baada ya kutoka madarakani..
Kama kweli magufuli ana uchungu na rasilimali za nchi hii serikali yake na ipitie upya mikataba yote tata aache maigizo ya kuumia na kusononokea rasimali zetu mbele ya kamera na vipaza sauti.
Unaamini magufuli alishiriki kupitisha mikataba ambayo mpaka sasa inatukosti??Mbona wengine tuliwaamini pamoja na kutusainia mikataba mibovu inayoutaghalimu mpaka sasa....!!??
Nani kasema hivyo??Kwa hiyo ulitaka kwa kuwa alishiriki kuisaini kama waziri basi angetakiwa aache tu asichukue hatua..!!??
Kama macho yalikua machanga alikuwaje waziri?Hapana ....kuona, labda macho yalikuwa 'machanga' bado!
Kama ilivyo hivi sasa wapo wabunge wa ccm na mawaziri ambao kwa hivi sasa wanaona kuna mambo ya hovyo kabisa yanafanyika lakini hawathubutu kusema lolote kutokana na njaa zao na kuonekana wasaliti!
Ni hivyo hivyo ilivyokuwa kwa magufuli!