kweli aisee Yani mtu anaetumikia uganja anavyotetemekea madhabau yake utashangaa mtu anaambiwa lala na mwanao wa kuzaa anafanya ivo...uwa anauwa....wanaziheshim sana madhabau zao...lakini wenye madhabau zenye nguvu kuu inayozidi nguvu zote wamelala tuu hawana mpango na madhabau zao huku...
wazungu wengi sio christian au muslim bt wana cults wengi ni satanist pia....watu wanaabudu shetani wana mafanikio sana humu duniani sababu ndo wanaongoza kwa kuiheshimu na kuitolea sadaka madhabau zao zinazowapa mali...ni lama utajiri wa kichawi lazima utoe sadaka nk...nt waislam na wakristo...
so mnafanya biznec.....nyie mmetoa mtaji alafu mmeajiri wainjilisti ambao wanaamini nyie ni wa kweli....so makanisa mengi yana wawekezaji na wachungaji wanalipwa mishahara tu...okay...
nikueleze vilivyotokea na visivyotokea ili iweje we amini cha kwako acha kupebda penda story za watu...we kamata reality yako as you said ,life goes on...
ahahah life goes on hivi unazani kuna mtu maisha yamesimama?? kila mtu ana mbinu zake na iman yake kufanya maisha yawe rahis
ooooohooo nawewe umerudi kule kule kwa kitaka kila mtu aamini unavyojua wewe..
so huna msimamo ila unamtizamo/na hisia hasi....
zama zimebadilika kweli...na zinaendelea kubadilika na zote zipo kwenye vitabu wala hakuna jipya lisiloandikwa ktk yaliyopo sasa.
soma vitabu, google utaelewa...
tatizo unaongea sana na tiyar una attitude kuhs kitu flan ni ngumu kujifunza ukiwa ivo...sasa freemason kajaje hapo...kwan wote uliowataja wakiwa frmsn ni ajabu.!!!! fanya utaratibu jifunze kusoma na kutafuta habari...information ni Nguvu.
ktk ndoto kuna kawaida(mambo tuliyoyawaza au kuyafanya...
Mungu pia utumia matatizo/vikwazo ili kumrudisha mtu kanisani/kwenye maombi/kwenye ufalme wake...ivyo wanaporudi inamaana wamejua Mungu ndio kipindilio lao na Mungu anapowajibu maombi yao wanazidi kumwamini na kusimama kwenye Imani....Asilimia 98 wengibwalisimama kimsombi baada ya kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.