Recent content by chagga land

  1. C

    JamiiForums Tanzania Wachaga wote (our special thread) tujumuike hapa msimu huu jamani!

    aisee imeniuna sana mwaka huu sijaenda moshi.aisee mniombee na mimi huko
  2. C

    JamiiForums Tanzania There's shortage of Pepsi in the market!

    kuna tetesi kuwa kampuni inayozalisha hivyo vinywaji imefirisika.sijajua kama ni za kweli
  3. C

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa shule awataka wazazi kuendelea kuchangia michango ya shule

    ni kweli kwa upande wa chakula wanatakiwa kuchangia wazazi ila kumbuka kuwa kila shule ilitakiwa kuwasilisha bajeti yake ya mwaka katika halmashauri husika,ambapo serikali itachangia michango yote kuanzia ya kitaaluma hadi kwenye maswala ya ulinzi na uendesha,hivyo huyo mkuu si haki anachofanya...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa shule awataka wazazi kuendelea kuchangia michango ya shule

    maadili ya kazi yalikuwa yameanza kupotea kwa wafanyakazi wa umma. rushwa,wizi na utoro kwa watumishi vilikuwa vimeanza kukithiri
  5. C

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa shule awataka wazazi kuendelea kuchangia michango ya shule

    Mkuu wa shule ya sekondari Usangi day, wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro amewahimizia wazazi wa watoto wanaosoma katika shule hiyo kuendelea kuchangia michango kama kawaida. Mkuu huyo wa shule amesema kuwa kila mzazi anatakiwa kuchangia cement mfuko mmoja,hela ya mlinzi,hela ya taaluma na...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Mrejesho: Ninadaiwa kodi ya nyumba na sina kazi kwa sasa, msamaria mwema nisaidie

    aisee hapo haibakii hata ya bia moja ndugu? nipo nyuki hapa kama vipi nije hapo kwa ndevu aisee unipe kabia kamoja bwanashee
  7. C

    JamiiForums Tanzania Interview ya Paul Makonda na E-FM Radio

    Wadau, Muda si mrefu mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda atakuwa live E-FM radio akizungumzia maswala mbali mbali. Tujumuike pamoja katika uzi huu nitawaletea atakachozungumza. ======== Ameshaanzaa kuongea muda huu, na anasema mabadiliko yaliyopo sasa hayaepukiki kabisa na wapo...
  8. C

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nataka kununua helcopter

    asante sana mkuu
  9. C

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nataka kununua helcopter

    asante sana mkuu,umenishauri vyema kabisa
  10. C

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nataka kununua helcopter

    ni kweli mkuu ila helcoper is for leisure tu mkuu,siunajua mkuu
  11. C

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nataka kununua helcopter

    asante mkuu kwa maswali yako mazuri,kiukweli sina ufaham na maswala ya udereva kuanzia baiskel hata gari au boda boda,mimi nadhani kwa sababu kuna wataalam waliosomea urubani nitamtafuta ili aweze kuniendesha.nadhani nimetoa majibu mazuri mkuu
  12. C

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nataka kununua helcopter

    nimewapata mzee ndesamburo,msuka na mbowe mkuu.samahani kama utaweza nisaidie wengine nitafurah sana ndugu
  13. C

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nataka kununua helcopter

    asante mkuu,mbowe naweza mpata pale ufipa ila unaweza nisaidia contact za msukuma
  14. C

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nataka kununua helcopter

    ubarikiwe mkuu kwa msaada wako,lakini samahani naweza mpataje huyo mzee?
  15. C

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nataka kununua helcopter

    hapana mkuu kama ningekuwa nahitaj ya kubeba mzigo ningeanza na tololi but is just usafir
Back
Top Bottom