Turudi kwenye harakati za Paniafrcanisim ilielezwa wazi wakati wa mabadiliko ya siasa kutoka chama kimoja kwenda vyama vingi kila kiongozi husimamia suala la kuwekeza katka watu ambao hata baadae watakuwa viongozi watakao ongoza nchi pale mda wa kiongozi aliye madarakani kuisha, vipi jirani...
Hauko sawa hata kidogo nikuulize tu kama ushawahi kufuatilia huduma za afya kwenye Hospitali yoyote ile ya Serikali, Hakuna hata moja utanikuta salaam yaani haina malalamiko kutoka kwa wagonjwa kwa hivyo Waziri lazima apambane nap kadri ya uwezo wake mbali na taaluma kwakuwa Watanzania wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.