Recent content by CHADEMA

  1. CHADEMA

    Tumesikitishwa na taarifa za Yohana Kaunya na wenzake kupigwa wakiwa gerezani kama mahabusu

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimesikitishwa na taarifa kutoka Gereza la Bunda, Mkoani Mara anakoshikikiwa Yohana Kaunya, Katibu Mkuu Mstaafu wa Baraza la Vijana Taifa. Kwa mujibu wa taarifa rasmi tuliyopokea, afya ya Kaunya ni mbaya akiwa chini ya ulinzi wa vyombo vya dola kutokana na...
  2. CHADEMA

    PostGE2025 CHADEMA tunalaani kukamatwa na kuteswa kwa familia na majirani wa mwenyekiti wa CHADEMA Geita Vijijini, Neema Chozaile

    KUHUSU KUKAMATWA NA KUTESWA KWA FAMILIA NA MAJIRANI WA MWENYEKITI WA CHADEMA GEITA VIJIJINI, BI. NEEMA CHOZAILE Sisi, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),tunalaani vikali kitendo cha kukamatwa kiholela, kuteswa na kushikiliwa kinyume cha sheria kwa watoto, wanafamilia na majirani wa Bi...
  3. CHADEMA

    PostGE2025 Barua kutoka kwa Tundu Lissu: Samia Suluhu Hassan hakuchaguliwa na sio Rais halali wa nchi yetu

    BARUA KUTOKA GEREZA KUU LA UKONGA. Samia Suluhu Hassan hakuchaguliwa na sio Rais halali wa nchi yetu: Kwa mujibu wa Taarifa ya awali ya watazamaji wa uchaguzi kutoka umoja wa Africa (AU); 1. Taratibu za kisheria za uchaguzi zilizotumika zilikuwa "...kinyume na viwango vya kikanda, kibara na...
  4. CHADEMA

    PostGE2025 Msimamo wa CHADEMA kuhusu tume iliyoandaliwa kuchunguza “matukio ya uvunjifu wa amani” baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025

    MSIMAMO WA CHADEMA KUHUSU TUME ILIYOANDALIWA KUCHUNGUZA “MATUKIO YA UVUNJIFU WA AMANI” BAADA YA UCHAGUZI WA OKTOBA 29, 2025 Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuuarifu umma wa Watanzania na Jumuiya ya Kimataifa kwamba haiitambui Tume ya Uchunguzi iliyoteuliwa na Ndg. Samia...
  5. CHADEMA

    GE2025 Waraka wa Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika juu ya Hotuba ya Rais na Maombolezo ya wafia Demokrasia

    Ujumbe wa Katibu Mkuu Na. 3 wa 2025: Juu ya Hotuba ya Rais Haramu ya 3/11/2025 na maombolezo ya wafia demokrasia, uhuru na haki ya tarehe 5 mpaka 11 Novemba 2025. Makamanda, wapendwa na ndugu nawasalimu kwa salamu zote za Chama na salamu za imani zenu kwa Mungu. Naomba mrejee taarifa kwa umma...
  6. CHADEMA

    Godlisten Malisa akamatwa tena na Jeshi la Polisi na kusafirishwa mkoani Kilimanjaro

    #Updates Usiku huu @MalisaGJ_ amefikishwa Moshi mjini, na Jeshi la Polisi limempeleka moja kwa moja ofisi ya RCO. Wakili Peter Kidumbuyo ameambatana na Malisa katika mahojiano hayo.
  7. CHADEMA

    Godlisten Malisa akamatwa tena na Jeshi la Polisi na kusafirishwa mkoani Kilimanjaro

    Kesi namba 11805/2024 inayomkabili aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob na Godlisten Malisa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Saalam limeahirishwa hadi tarehe 04 Julai 2024 ambapo usikilizwaji wa awali wa shauri hilo utaanza. Baada ya kesi hiyo kuahirishwa, Jeshi la...
  8. CHADEMA

    Taarifa ya awali kuhusu hukumu ya Mahakama Kuu masjala kuu Dar es Salaam, kuhusu Wanachama 19 waliofukuzwa CHADEMA

    Tumepokea hukumu iliyotolewa leo Alhamisi tarehe 14 Desemba, 2023, uamuzi wa Mheshimiwa Jaji Cyprian Phocas Mkeha; 1. Kwamba uamuzi wa kuwafukuza uanachama waliokuwa wanachama wetu 19 uliofanywa na Kamati Kuu ya Chama, umeendelea kusimama (Upo pale pale) na Mahakama imekubaliana kuwa taratibu...
  9. CHADEMA

    Tamko la kulaani kusimamishwa kiholela kwa Wakili Mpale Mpoki na tishio kwa mawakili wa kujitegemea nchini

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea kwa masikitiko taarifa ya kusimamishwa kiholela kufanya kazi za uwakili iliyomkumba Wakili Mwandamizi Mheshimiwa Mpale Mpoki ambaye alikuwa akiongoza jopo la Mawakili wa utetezi katika shauri la kinidhamu linalomkabili Wakili Boniface...
  10. CHADEMA

    Mbowe, Mwalimu watikisa Butiama

    - Wabeba Mwenyekiti wa Kijiji na wajumbe wake Na Mwandishi Wetu FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho upande wa Zanzibar, Salum Mwalimu, leo wamepata mapokezi makubwa katika mkutano wa hadhara uliofanyika Buhemba...
  11. CHADEMA

    Mafuriko ya Mbowe, yamsomba DC

    MAELFU ya wananchi wa mji wa Mwanhuzi, wilayani Meatu, mkoani Simiyu, wamehudhuria kwa wingi katika mkutano wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), huku aliyewahi kuwa mbunge wa viti maalum mkoa wa Simiyu na Mkuu wa Wilaya (DC) za Meatu na Maswa, Rosemary Kirigini, akitangaza...
  12. CHADEMA

    John Mnyika mgeni rasmi Nungwi Super Cup

    Jana Agosti 27, 2023 Katibu Mkuu wa Chama Mhe. John Mnyika amekuwa mgeni rasmi katika fainali ya mashindano ya mpira mguu ya Nungwi Super Cup yaliyoandaliwa na Chadema Zanzibar ndani ya jimbo la Nungwi. Katika mashindano hayo timu 11 zilishindana na baadae timu mbili kuingia fainali, Kiungani...
  13. CHADEMA

    UWT Waungana na Mbowe kupinga Mkataba wa Bandari

    Wanachama na viongozi wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), Kata ya Didia, Jimbo la Solwa, mkoa wa Shinyanga, ni miongoni mwa wananchi waliopiga kura ya wazi leo kupinga Mkataba baina ya Serikali ya Tanzania na Dubai, kuhusu uendelezaji wa bandari na maeneo mengine ya kiuchumi...
  14. CHADEMA

    Mbowe akomaa na Pamba, Tumbaku na Madini.

    Lembeli aibukia jukwaa la Chadema, Kahama, akerwa na rushwa serikalini. AKIHUTUBIA maelfu ya wananchi katika mikutano sita aliyoifanya leo kwenye jimbo la Ushetu na Kahama, mkoani Shinyanga, Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amekutana na vilio vya...
Back
Top Bottom