watanzania walio wengi ni wataalamu wa kushabikia lakin ni wavuvu kusoma ni wagumu kukubali wasiotaka kuyasikia wanapenda kuletewa habari zenye udhaifu wa mtu fulani lakin si uzuri wa mtu fulani
lakin nasikitika kwa kuwa hatupendi kushughulisha akili zetu hasa sisi vijana tumekuwa mstari...
Wapendwa napenda kushare nanyi suala moja muhimu hivi majuzi rais baada ya kubadili baraza la mawaziri kuna waziri mmoja alinivutia sana hasa baada ya kuonesha uwezi katika kazi kwani aliibuka mara moja kwenye vyombo vya habari na kusema kuwa wataanza shughulikia suala la madai ya wakulima...
ndg zangu wanaccm ili kuweza kuendea kushika dola ni bora mkampitisha wasira kwenye nafas ya urais watanzania wamechoka ufisadi na wengi wamekuwa macho sasa hivyo basi suala la kumpitisha lowasa ni kuimaliza kabisa CCM na hiyo itakuwa advantage kwa upinzani. binafsi sijaona anaefaa ktk nafas...
ndg zangu wanaccm ili kuweza kuendea kushika dola ni bora mkampitisha wasira kwenye nafas ya urais watanzania wamechoka ufisadi na wengi wamekuwa macho sasa hivyo basi suala la kumpitisha lowasa ni kuimaliza kabisa CCM na hiyo itakuwa advantage kwa upinzani. binafsi sijaona anaefaa ktk nafas...
Inasemekana kuwa CCM imejipanga kurudisha imani kwa wananchi kwa kusimamisha mgombea asie na kashfa na mwenye uwezo wa kusimamia serikali usiangushwe au kuhujumiwa.
Habari za kuaminika kutoka vyanzo vya ndani ya chama vinadai kuwa CCM haiko tayari kumpitisha kiongozi aliyechafuka tayari na...
for sure wasira deserve much kwani mpaka sasa hakuna mgombea anaefit kwenye kiti hicho zaid yake lakin pia we unaesema analala bungen tofautisha kulala na kusinzia yy pia i binadamu and how many times umemuona akilala bungeni?? je tangu yupo bungeni yy ni kulala tu?? huwa hachangii hoja?? acheni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.