Zitto yuko kivyakevyake, viongozi wa kitaifa wakiwa ktk mikutano yeye hayupo, mara atoe kauli tata, sina imani nae 100%.
Atakama alitoa muda wake akiwa udsm kuhangaikia chama, cdm imekuja juu baada ya dr slaa kusimama 2010, then misimamo ya kina mbowe, mnyika, lissu, wenje, mdee, lema etc...