Mkuu jifunze kujiheshimu, Dr. Slaa hajawahi kuwa na kashfa yoyote ya rushwa na wala sio mnafiki kama mama Anne Kilango.Anne hana tofauti na akina Zitto na Slaa ambao midomoni ni extreme anticorruptionists but internally wananuka rushwa.
Baada ya kushindwa UWT sasa mama Kilango anajiaandaa kuondoka bungeni kwani hawezi kurudi tena bungeni 2015. Amewahadaa sana watu wa Same Magharibi kwa ahadi zisizotekelezeka na kuwalaghai na ka kiwanda ka Tangawizi ambako hakapo. Pamoja na hayo anakabiliwa na matatizo mengi ya barabara mbovu, elimu kushuka kwa kasi, zao la mpunga kuporomoka, zahanati kushindwa hata kufunga vidonda amekuwa vuvuzela na haonekani jimboni.
Wakazi wa Same wanamtakia maisha mema popote alipo na wanatamani 2015 ifike leo.
Upande wa pili Mathayo anaonekana kakubali matokeo kwani hata kwao haendi tena.
Chief Mkwawa Wa Kalenga
Kwenye pita pita zake za kukagua majimbo
Mkuu jifunze kujiheshimu, Dr. Slaa hajawahi kuwa na kashfa yoyote ya rushwa na wala sio mnafiki kama mama Anne Kilango.
wapare wataamua.
Najenga taswira ya jinsi ya thread yako itakavyokuwa siku Kilango akisema yeye CCM basi anakuja CDM.
i hate this woman.....mnafiki sana huyu mama.....bora wamemtosa UWT......kwa tz ya sasa viongozi kama huyu mama hawafai kabisa.....Hata huyo simba aliyeshinda wote wabovu...hawatufai tz....lakini tufanyeje......ndo ccm hiyo...a bunch of losers.....Baada ya kushindwa UWT sasa mama Kilango anajiaandaa kuondoka bungeni kwani hawezi kurudi tena bungeni 2015. Amewahadaa sana watu wa Same Magharibi kwa ahadi zisizotekelezeka na kuwalaghai na ka kiwanda ka Tangawizi ambako hakapo. Pamoja na hayo anakabiliwa na matatizo mengi ya barabara mbovu, elimu kushuka kwa kasi, zao la mpunga kuporomoka, zahanati kushindwa hata kufunga vidonda amekuwa vuvuzela na haonekani jimboni.
Wakazi wa Same wanamtakia maisha mema popote alipo na wanatamani 2015 ifike leo.
Upande wa pili Mathayo anaonekana kakubali matokeo kwani hata kwao haendi tena.
Chief Mkwawa Wa Kalenga
Kwenye pita pita zake za kukagua majimbo
halafu wale nyasi???au unawahakikishia UTAWALISHA???
Mkuu jifunze kujiheshimu, Dr. Slaa hajawahi kuwa na kashfa yoyote ya rushwa na wala sio mnafiki kama mama Anne Kilango.
Ndo tushaamua! HATUMTAKIIIIIIIIIIIIII
huwa anajifanyaga kuongea kwa hisia na kujionyesha eti kama ana machungu..lakini hamna kitu kumbe ni walewale...GAMBA..Ukiwa nyoka ni nyoka tu..hauwezi kuwa nyoka ukajibadilisha kuwa churaBaada ya kushindwa UWT sasa mama Kilango anajiaandaa kuondoka bungeni kwani hawezi kurudi tena bungeni 2015. Amewahadaa sana watu wa Same Magharibi kwa ahadi zisizotekelezeka na kuwalaghai na ka kiwanda ka Tangawizi ambako hakapo. Pamoja na hayo anakabiliwa na matatizo mengi ya barabara mbovu, elimu kushuka kwa kasi, zao la mpunga kuporomoka, zahanati kushindwa hata kufunga vidonda amekuwa vuvuzela na haonekani jimboni.
Wakazi wa Same wanamtakia maisha mema popote alipo na wanatamani 2015 ifike leo.
Upande wa pili Mathayo anaonekana kakubali matokeo kwani hata kwao haendi tena.
Chief Mkwawa Wa Kalenga
Kwenye pita pita zake za kukagua majimbo