Hiyo inaonyesha ni jinsi gani tunasoma elimu ya kukremishwa(elimradi kufaulu mtihani) power of thinking and creativity hamna.
Hilo siyo jambo LA kusifu ni jambo LA kuombewa Mungu afungue mind set tufikiri sawasawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jeshi LA Polisi linaposema lina intelligence Kali inapaswa kudhibiti jambo kabla ya tukio. Watu wakishapoteza maisha huwezi kuwarudishia uhai wao tena. Naamini hili jambo lipo ndani ya uwezo Wa serikali ikishirikiana na wenyeji Wa eneo. Just a matter of being serious.
Hizo channel za local mnazosema zimerudishwa ni zipi!? Salio langu la startimes hapa Mwanza limeisha Leo hamna channel ya local inayooshesha zaidi ya TV1.
MTOA MADA tueleze ni nini falsafa ya huyu mheshimiwa, je kwa muda aliokuwa madarakani amefanya na kusimamia falsafa ipi ambayo watanzania tunaweza kumkumbuka ili tumpe kura ya Urais. vinginevyo umeleta story za vijiwe vya kahawa.
Alisema: Ukikaa watoto wako wajue umekaa pale kama baba wa wote... siyo baba wa kutafutia kazi (watoto) kwa magendo.
Ukweli unapaki kuwa ukweli, kwa nchi nyingi za Africa maraisi wanataka familia ziwe na maisha ya peponi kwa kuwa na tamaa bila kujua wao ni baba wa wote. Ni hatari imetokea kwa...
Wanaume wa kikurya hawana unafiki kwenye Mapenzi. Wakipenda wamependa wakitema wanakutema jumla na kichapo juu. Pili wana wivu sana na nyumba ndogo, nyumba ndogo inatunzwa zaidi kuliko kwa bi. mkubwa(wa ndoa).
wa
Wanaume wa kikurya hawana unafiki kwenye Mapenzi. Wakipenda wamependa wakitema wanakutema jumla na kichapo juu. Pili wana wivu sana na nyumba ndogo, nyumba ndogo inatunzwa zaidi kuliko kwa bi. mkubwa(wa ndoa).
wa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.