Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi Nchini, Balozi Ombeni Sefue ametoa pendekezo hilo la tume hiyo leo Tarehe 18 Machi, 2026 Ikulu Dar es Salaam wakati wa kukabidhi ripoti hiyo
Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi Nchini, Balozi Ombeni Sefue ametoa pendekezo hilo la tume hiyo leo Tarehe 18 Machi, 2026 Ikulu Dar es Salaam wakati wa kukabidhi ripoti hiyo
Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi Nchini, Balozi Ombeni Sefue ametoa pendekezo hilo la tume hiyo leo Tarehe 18 Machi, 2026 Ikulu Dar es Salaam wakati wa kukabidhi ripoti hiyo
Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi Nchini, Balozi Ombeni Sefue ametoa pendekezo hilo la tume hiyo leo Tarehe 18 Machi, 2026 Ikulu Dar es Salaam wakati wa kukabidhi ripoti hiyo
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 16, 2026 akizungumza na wananchi wa Mpanda Mjini, Mkoani Katavi ametoa wito kwa halmashauri zote nchini kuhakikisha shule zote zinakuwa na madawati ya kutosha.
Dkt. Mwigulu amehoji halmashauri zinawezaje kuweka bajeti za kununua magari ya nyongeza huku...
Akiongea katika kipindi cha Jambo Asubuhi, Mwandishi Pascal Mayalla amesema Tanzania kuna tatizo kubwa la tafsiri ya sheria, hata kwenye Mihimili mitatu ya dola.
Kwa kweli kuna watu hawana ustaarabu kabisa. Unawezaje kuzungumzia maisha ya watu wengine hadharani, bila hata kujali faragha yao, tena ukiwa kwenye usafiri wa umma? Hujui hata kama mmoja wa abiria ni ndugu au jamaa wa huyo unayemzungumzia.
Tulipanda basi pale Segerea na kulikuwa na mzee wa...
Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imeyatupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na Said Issa Mohammed na wenzake kupinga Lissu kuunganishwa katika Kesi ya Mgawanyo wa Mali inayowakabili Katibu Mkuu wa CHADEMA na Bodi ya Wadhamini.
Soma Walioishtaki CHADEMA waweka pingamizi...
In Tanzania, we are calm and cool politically; everything is under control after what happened in October during our election, but now the country has come to normalcy, and we are having our normal activities.
Kumbe nyie Mwigulu hana adabu kwa mkubwa wake wa kazi, anawezaje kujibu hivi kimafumbo mafumbo? Mbona Makamu wa Rais aliongea vizuri tu kuhusu viongozi kuwajibika ipasavyo kwa wananchi?
Je, hii ni vita ya Urais 2030?
Mwenyekiti wa Bawacha amewatangazia wanawake wote wa chama hicho kufika Musoma ambako wataungana na wanawake wote duniani kuadhimisha siku ya wanawake.
Imran Kombe nasikia naye alipotezwa baada ya kusema CCM kimepoteza mvuto. Aliuawa akidhaniwa kuwa mwizi wa gari. Cha kushangaza alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa, swali tunalolijua kuwa wale askari walikuwa hawamjui aliyewahi kuwa boss wa TISS?
Bodi ya lthibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imempa onyo kali Mwandishi wa Habari, Bw. Kelvin Justine Raphael, mwenye ithibati halali, maarufu kwa jina la ZUNGU (Matejoo) kufuatia kukiuka maadili ya taaluma ya uandishi wa habari katika maudhui aliyoyachapisha kuhusu tukio la uchelewaji wa ndege...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.