Recent content by Chachu Ombara

  1. Chachu Ombara

    Samia: Nimeongea na Rais Ruto, wale watoto wetu watovu wa adabu, wakija kwako chapa mikwaju, wakija kwangu nachapa mikwaju

    Nimeshangaa Rais kuongea hivyo mbele ya watu wenye heshima zao.
  2. Chachu Ombara

    Samia: Nimeongea na Rais Ruto, wale watoto wetu watovu wa adabu, wakija kwako chapa mikwaju, wakija kwangu nachapa mikwaju

    Rais Samia akiongea katika Kongamano la Biashara baina ya Tanzania na Kenya, tarehe 04 Mei, 2026, JNICC Dar es Salaam, amesema Gen Z wanaojifanya wa East Africa tusiwavumilie kuharibu demokrasia yetu
  3. Chachu Ombara

    Samia: Nimeongea na Rais Ruto, wale watoto wetu watovu wa adabu, wakija kwako chapa mikwaju, wakija kwangu nachapa mikwaju

    Rais Samia akiongea katika Kongamano la Biashara baina ya Tanzania na Kenya, tarehe 04 Mei, 2026, JNICC Dar es Salaam, amesema Gen Z wanaojifanya wa East Africa tusiwavumilie kuharibu demokrasia yetu
  4. Chachu Ombara

    PostGE2025 Kihongosi: Kuna watu wanatumia video za matukio ya Oktoba 29 kama mtaji wa kisiasa

    Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi akizungumza na waandishi wa habari - makao Makuu Dodoma amesema kuna watu wanatumia video za matukio yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 kama mtaji wa kisiasa. Ameongeza kuwa hakuna mtoto wa mwanasiasa aliyepata...
  5. Chachu Ombara

    Polisi: Tunachunguza kifo cha mtu ambaye mwili wake ulikutwa unaelea mto Msimbazi

    03 Mei, 2026 TAARIFA KWA UMMA Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linachunguza kifo cha mtu ambaye tarehe 30 Aprili, 2026 saa 09:00 Alasiri mwili wake ulikutwa unaelea kwenye maji yaliyokuwa yanatiririka katika mto Msimbazi eneo la Kipawa Wilaya ya Ilala. Mwili huo ambao haukuonekana...
  6. Chachu Ombara

    Rais Samia: TUCTA hawakuja na madai mapya. Kadri uchumi wetu unavyoimarika, tutaendelea kuboresha maslahi ya wafanyakazi wetu

    Rais Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani inayoadhimishwa Kitaifa Mkoani Njombe, leo tarehe 1 Mei, 2026 amesema kuwa mwaka huu hakutakuwa na maboresho ya maslahi ya wafanyakazi.
  7. Chachu Ombara

    Rais Samia: TUCTA hawakuja na madai mapya. Kadri uchumi wetu unavyoimarika, tutaendelea kuboresha maslahi ya wafanyakazi wetu

    Rais Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani inayoadhimishwa Kitaifa Mkoani Njombe, leo tarehe 1 Mei, 2026 amesema kuwa mwaka huu hakutakuwa na maboresho ya maslahi ya wafanyakazi kwasababu mbalimbali ambazo ametaka kuwa TUCTA hawakuja na madai mapya bali...
  8. Chachu Ombara

    Alphonce Muyinga: Heche ni debe tupu, tutampa elimu tukiona anapotosha umma kwa makusudi

    Alphonce Muyinga akizungumza leo Aprili 21, 2026 aliposhiriki Kongamano la Kitaifa la Mama Lishe na Baba Lishe Tanzania katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano JNICC, amesema kuwa, “Heche ni kama debe tupu; sisi wazalendo tunapojitokeza kumzungumzia ni kama tunampa elimu, na tutachukua hatua pale...
  9. Chachu Ombara

    Dkt. Nshala: Tume ya Jaji Chande kuchunguza matukio ya Oktoba 29 ni batili na haramu tokea ilipoundwa, chochote kitakochotolewa nayo ni batili

    ANAANDIKA MWANASHERIA MKUU WA CHADEMA DR. Rugemeleza Kwa vyovyote itakavyotolewa na kusema Tume ya Jaji Chande Othmani Juu ya Vurugu na Mauaji ya October 29, 2025 ni batili na haramu tokea ilipoundwa. Kwa sababu zifuatazo: 1.⁠ ⁠Imeundwa na Samia Suluhu Hassani ambaye ndiye mtuhumiwa namba...
  10. Chachu Ombara

    Msigwa: Deni la Taifa halikui kwa kasi kwasababu ya matumizi mabaya

    Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akihojiwa na Wasafi TV amesema kuwa Deni la Taifa linakua kwa kasi kwa sababu fedha hizo zinaenda kwenye miradi ila kuna watu wanapotosha kuonekana fedha hizo zinaliwa
  11. Chachu Ombara

    JUMIKITA: Media zisimpe tena ushirikiano Madam Rita

    Kauli ya Madam Rita kwa Media ya Mike 360 ------- Jumuia ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii (JUMIKITA) kupitia Mwenyekiti wake, Ndugu Shaaban Matwebe, imesikitishwa na kulaani vikali kitendo kisicho na heshima wala uungwana kilichofanywa na Madam Rita dhidi ya chombo cha habari cha...
  12. Chachu Ombara

    Serikali: Tunaongea na CCM tuweze kukarabati viwanja wanavyomiliki

    Serikali yaani ifanyie ukarabati wa viwanja vya chama ambacho kinaiongoza, CCM wanatumia vibaya sana nguvu ya chama tawala kwa kutaka kujinufaisha.
  13. Chachu Ombara

    Namibia yakataa leseni ya Starlink kwa kutokidhi masharti ya umiliki wa ndani

    Namibia imekataa ombi la leseni ya huduma ya intaneti ya satelaiti ya Starlink, kampuni inayomilikiwa na Elon Musk, ikisema haiwezi kufanya kazi nchini humo bila angalau asilimia 51 ya umiliki kuwa mikononi mwa Wanamibia. Mamlaka za mawasiliano zilisema kampuni hiyo haijakidhi masharti ya...
  14. Chachu Ombara

    TANZIA Arusha: Polisi auawa na wananchi akidhaniwa kuwa mwizi, Sita wakamatwa kwa tuhuma za mauaji

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watu sita kwa tuhuma za mauaji ya Roland Mollel Askari Polisi mkazi wa Jiji la Arusha, yaliyotokea tarehe 15.04.2026 usiku huko katika mtaa wa Mlimani, kata ya Muriet Jijini Arusha. Uchunguzi wa awali umebaini kuwa, tukio hilo la mauaji lilitokea...
Back
Top Bottom