Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Mwanza, Mhashamu Renatus Nkwande, amewataka Watanzania, hususan vijana, kujenga taifa kwa misingi ya unyenyekevu, uadilifu na haki badala ya kutumia nguvu au ubabe, akisisitiza kuwa hiyo ndiyo njia sahihi ya kuleta ukombozi wa kweli wa nchi.
Askofu Nkwande...
Ukiambiwa utaje neno sahihi la Kiswahili, ungechagua lipi?
A. Mwavuli
B. Mwamvuli
C. Mwanvuli
Wengi hulitamka kwa kujiamini, lakini si wote huandika kwa usahihi. Wewe una uhakika na jibu lako?
Wananchi wakataa mapambio ya MwanaFa kwenye miaka 30 ya Bongo Fleva
Katika hali isiyo ya kawaida, Naibu waziri wa Michezo, Sanaa...., Mwinjuma Hamis maarufu kama mwanaFa amezomewa na kukataliwa na wananchi waliohudhuria tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva, pale alipotaka kuanza kusifia na...
Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Steven Kimondo, amesisitiza kuwa neno "amani" halipaswi kutumiwa kuhalalisha au kuficha vitendo vya ukandamizaji, mateso na ukiukwaji wa haki za wananchi.
Akizungumza katika mahojiano maalum yaliyofanyika mkoani Mbeya, Mchungaji...
Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Arusha, Elisa Mungure amesema licha ya kutokuwa mwanachama wa CCM, anamkubali Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi kutokana na msimamo wake wa kutetea haki, demokrasia na umoja wa Watanzania.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche akitoa salamu za rambirambi katika msiba wa aliyekuwa dereva wake, Suez Maradufu, leo, Julai 5, 2026. amesema chama chao kina mashaka na kifo cha dereva huko kutokana na sababu mbalimbalimba.
Pia soma TANZIA - Dereva wa John Heche akutwa amefariki...
Naibu Katibu Mkuu Bara - CHADEMA, Amani Golugwa amesema kuwa chama kinatilia mashaka kuhusu kifo cha aliyekuwa dereva wa John Heche
Mama mjane na wana Tarime naomba niwaambie jambo moja. Na mnisikilize kwa makini mtuelewe. Sisi kama chama, tuna mashaka na kifo cha Suezi Maradufu.
Tumefanya...
Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Steven Kimondo, amesema haiwezekani taifa likapata amani ya kudumu ikiwa haki za kikatiba za wananchi na vyama vya upinzani zinaendelea kukandamizwa. Amesema viongozi wa serikali na vyombo vya dola wanapaswa kutambua kuwa amani ya...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amekosoa kauli ya Waziri Patrobas Katambi, akidai kuwa haina msingi wa kisheria na kwamba hana mamlaka ya kufuta mikutano ya vyama vya siasa.
Kuhusu katazo la mikutano ya kisiasa, soma Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote...
Je, unaweza kutambua maneno ya chuki (Hate Speech) unapoyaona au kuyasikia mtandaoni?
Kama ndiyo, vipi viashiria vyake?
Pia soma Jinsi ya kutambua Kauli za Chuki "Hate Speech" Mtandaoni
Wakili Peter Kibatala amelionya Jeshi la Polisi kuwa linaweza kuendelea kupoteza imani ya umma iwapo halitachukua hatua za kisheria dhidi ya Mzee Clemence Mwandambo, kufuatia kusambaa kwa video zinazomuonyesha akiwa ameshika vifaa vinavyofanana na silaha za kuchezea huku akitoa kauli za kupinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.