Recent content by Chachu Ombara

  1. Chachu Ombara

    Abagore banyurwa bigenze bite koko?🤔

    Si uko abagore badashobora kunyurwa, ahubwo ni uko buri wese agira amahitamo ye. Iyo mutahuye mu bitekerezo no mu buzima, ntihabaho ikibazo.
  2. Chachu Ombara

    Balozi Sefue: Mitaala kuanzia elimu ya msingi iboreshwe na kuongeza somo la KODI na UZALENDO

    Somo la kodi na uzalendo. Viongozi nao wanapaswa kuwa wazalendo
  3. Chachu Ombara

    Balozi Sefue: Mitaala kuanzia elimu ya msingi iboreshwe na kuongeza somo la KODI na UZALENDO

    Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi Nchini, Balozi Ombeni Sefue ametoa pendekezo hilo la tume hiyo leo Tarehe 18 Machi, 2026 Ikulu Dar es Salaam wakati wa kukabidhi ripoti hiyo
  4. Chachu Ombara

    Balozi Sefue: Tunashauri Serikali itoe muda wa mpito wa mwaka kutolipa kodi ya mapato ya biashara mpya

    Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi Nchini, Balozi Ombeni Sefue ametoa pendekezo hilo la tume hiyo leo Tarehe 18 Machi, 2026 Ikulu Dar es Salaam wakati wa kukabidhi ripoti hiyo
  5. Chachu Ombara

    Balozi Sefue: Tume inapendekeza mapitio ya ushuru, tozo na ada zinazotozwa na mamlaka ili kuondoa zinazofanana na kujirudia

    Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi Nchini, Balozi Ombeni Sefue ametoa pendekezo hilo la tume hiyo leo Tarehe 18 Machi, 2026 Ikulu Dar es Salaam wakati wa kukabidhi ripoti hiyo
  6. Chachu Ombara

    Balozi Sefue: Maafisa wa kodi wasionane uso kwa uso na mlipa kodi, ikiwa kuna umihimu yatengwe maeneo yenye uwazi na CCTV camera

    Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi Nchini, Balozi Ombeni Sefue ametoa pendekezo hilo la tume hiyo leo Tarehe 18 Machi, 2026 Ikulu Dar es Salaam wakati wa kukabidhi ripoti hiyo
  7. Chachu Ombara

    Mwigulu: Tunawekaje bajeti za kununua magari ya nyongeza na watoto wanakaa chini?

    Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 16, 2026 akizungumza na wananchi wa Mpanda Mjini, Mkoani Katavi ametoa wito kwa halmashauri zote nchini kuhakikisha shule zote zinakuwa na madawati ya kutosha. Dkt. Mwigulu amehoji halmashauri zinawezaje kuweka bajeti za kununua magari ya nyongeza huku...
  8. Chachu Ombara

    Pascal Mayala: Tuna changamoto kubwa ya tafsiri ya sheria nchini. Tumefanya chaguzi kwa Katiba batili

    Akiongea katika kipindi cha Jambo Asubuhi, Mwandishi Pascal Mayalla amesema Tanzania kuna tatizo kubwa la tafsiri ya sheria, hata kwenye Mihimili mitatu ya dola.
  9. Chachu Ombara

    Kuna watu si wastaarabu kwenye usafiri wa umma, tumepanda na mzee wa makamo anaropoka taarifa za watu ovyo

    Kwa kweli kuna watu hawana ustaarabu kabisa. Unawezaje kuzungumzia maisha ya watu wengine hadharani, bila hata kujali faragha yao, tena ukiwa kwenye usafiri wa umma? Hujui hata kama mmoja wa abiria ni ndugu au jamaa wa huyo unayemzungumzia. Tulipanda basi pale Segerea na kulikuwa na mzee wa...
  10. Chachu Ombara

    Mapingamizi dhidi ya Tundu Lissu kuunganishwa katika Kesi ya Mgawanyo wa Mali CHADEMA yatupiliwa mbali na Mahakama Kuu

    Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imeyatupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na Said Issa Mohammed na wenzake kupinga Lissu kuunganishwa katika Kesi ya Mgawanyo wa Mali inayowakabili Katibu Mkuu wa CHADEMA na Bodi ya Wadhamini. Soma Walioishtaki CHADEMA waweka pingamizi...
  11. Chachu Ombara

    Samia: Everything in Tanzania is under control after the incident that occurred during the 2025 General Election

    In Tanzania, we are calm and cool politically; everything is under control after what happened in October during our election, but now the country has come to normalcy, and we are having our normal activities.
  12. Chachu Ombara

    Dkt Nchimbi: Kuna raha yake kupigiwa vigelegele Vs Dkt. Mwigulu: wanalinganisha makofi, sijaletwa kwa ajili ya kupendwa

    Kumbe nyie Mwigulu hana adabu kwa mkubwa wake wa kazi, anawezaje kujibu hivi kimafumbo mafumbo? Mbona Makamu wa Rais aliongea vizuri tu kuhusu viongozi kuwajibika ipasavyo kwa wananchi? Je, hii ni vita ya Urais 2030?
  13. Chachu Ombara

    Kimenuka: Pamoja na Katazo Batili la Polisi BAWACHA yatangaza kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani bila kuogopa chochote

    Mwenyekiti wa Bawacha amewatangazia wanawake wote wa chama hicho kufika Musoma ambako wataungana na wanawake wote duniani kuadhimisha siku ya wanawake.
  14. Chachu Ombara

    Wanasiasa gani walipotea kisiasa baada ya kuingia migogoro na Serikali au chama tawala?

    Imran Kombe nasikia naye alipotezwa baada ya kusema CCM kimepoteza mvuto. Aliuawa akidhaniwa kuwa mwizi wa gari. Cha kushangaza alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Usalama wa Taifa, swali tunalolijua kuwa wale askari walikuwa hawamjui aliyewahi kuwa boss wa TISS?
  15. Chachu Ombara

    Zungu apigwa onyo kali kwa kukiuka maadili kuhusu tukio la uchelewaji wa ndege ya ATCL Mwanza - Dar

    Bodi ya lthibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imempa onyo kali Mwandishi wa Habari, Bw. Kelvin Justine Raphael, mwenye ithibati halali, maarufu kwa jina la ZUNGU (Matejoo) kufuatia kukiuka maadili ya taaluma ya uandishi wa habari katika maudhui aliyoyachapisha kuhusu tukio la uchelewaji wa ndege...
Back
Top Bottom