Recent content by Chachu Ombara

  1. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Nyahoza: Vyama vya siasa vifuate sheria tusiwe tunaandikiana barua

    Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, amethibitisha kuwa ujio wa ofisi hiyo katika Makao Makuu ya CHADEMA leo Jumatatu, Juni 1, 2026, ulikuwa na agenda moja tu ya kisheria inayohusu uundaji wa sera na madawati ya jinsia, huku akigoma katakata kujibu maswali ya wanahabari kuhusu...
  2. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Mpina: Lissu ni mwanamageuzi wa kweli, aliniambia 'Mpina kaza'

    Kada wa ACT Wazalendo Luhaga Mpina amemtaja Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu kuwa ni mmoja wa wanasiasa mahiri na Mwanamageuzi wa kweli ambaye mara zote amekubali kuwa mstari wa mbele kupigania Taifa bila kujali gharama anayoweza kulipa kutokana na kile...
  3. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Ibyiyumvo by’urukundo byarazimye, nakora iki ngo bisubire?

    Ndi umuntu ukunda kuba wenyine (introvert), kandi igihe kinini nagiye ngikoresha nkora ibintu bisaba imbaraga n'ibitekerezo byinshi kugira ngo mpore mpugiye ku bintu. Naje kwisanga nta cyifuzo cyo gukora imibonano mpuzabitsina cyangwa kugira umukunzi nkiriho na gito. Ibi bimaze imyaka...
  4. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania LIVE Yanayojiri uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Isimani na Udiwani kata 12 Tanzania Bara

    Hapo CCM wanachekelea meno nje maana marefarii wote wao
  5. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Hivi Arsenal hawaogopi? PSG hii si ya mabishoo wanaotembea uwanjani

    Hivi kweli Arsenal F.C. hawaogopi? 😅 Hii si ile PSG ya Lionel Messi, Neymar na vibes za Paris nights, hii ya sasa ni tofauti kabisa. Hakuna show nyingi, hakuna kutembea uwanjani. Hawa wanakaba kama wamekosewa hela 😭 Arsenal wana mpira mzuri, lakini PSG ya sasa ina njaa ya ubingwa kuliko likes...
  6. Chachu Ombara

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu wa Kinyarwanda amenitenda baada ya kujiunga chuo UDSM

    Miaka inakata aisee, kashaolewa na watoto juu.
  7. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Abagore b’Abanyarwandakazi tubona ku mbuga nkoranyambaga si bo duhura na bo mu buzima busanzwe

    Njye binafsi ndi Umutanzania, mvuka mu Karere ka Kyerwa mu Ntara ya Kagera. Akarere kacu ka Kyerwa na Karagwe byagize amahirwe yo kugira abaturage benshi baturuka mu Rwanda kubera gusaranganya umupaka, ndetse no ku ishuri nizeho hari Abanyarwanda benshi, ndetse n’abarimu, cyane cyane bigishaga...
  8. Chachu Ombara

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Reports Confirm U.S. Ebola Specialists En Route to Kenya Despite Court Order

    The United States Public Health Service Commissioned Corps has announced that it is deploying a specialised Ebola response team to Kenya to support the care, monitoring and quarantine of American citizens returning from the Democratic Republic of the Congo (DRC) amid a court suspension. In a...
  9. Chachu Ombara

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rigathi Gachagua: William Ruto is exposing the Kenyan people to death

    Former Deputy President Rigathi has accused the government of mismanagement, corruption, conflict of interest and state capture, claiming Kenyans would resist attempts to expose the country to health risks. Gachagua, who welcomed the High Court decision suspending the establishment of any...
  10. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Gen Z kaa mbali hii haiwahusu; Baby Boomers, Generation X (Gen X), Millennials (Gen Y) mnaweza kupanga hiki kikosi?

    Born town walikuwa wa kishua wana jezi wote.
  11. Chachu Ombara

    JamiiForums Tanzania Gen Z kaa mbali hii haiwahusu; Baby Boomers, Generation X (Gen X), Millennials (Gen Y) mnaweza kupanga hiki kikosi?

    Kaka salaam, maarifa hayana mwisho. Nipo tayari kujifunza
Back
Top Bottom