Rais Samia akiongea katika Kongamano la Biashara baina ya Tanzania na Kenya, tarehe 04 Mei, 2026, JNICC Dar es Salaam, amesema Gen Z wanaojifanya wa East Africa tusiwavumilie kuharibu demokrasia yetu
Rais Samia akiongea katika Kongamano la Biashara baina ya Tanzania na Kenya, tarehe 04 Mei, 2026, JNICC Dar es Salaam, amesema Gen Z wanaojifanya wa East Africa tusiwavumilie kuharibu demokrasia yetu
Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi akizungumza na waandishi wa habari - makao Makuu Dodoma amesema kuna watu wanatumia video za matukio yaliyotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 kama mtaji wa kisiasa.
Ameongeza kuwa hakuna mtoto wa mwanasiasa aliyepata...
03 Mei, 2026
TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linachunguza kifo cha mtu ambaye tarehe 30 Aprili, 2026 saa 09:00 Alasiri mwili wake ulikutwa unaelea kwenye maji yaliyokuwa yanatiririka katika mto Msimbazi eneo la Kipawa Wilaya ya Ilala. Mwili huo ambao haukuonekana...
Rais Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani inayoadhimishwa Kitaifa Mkoani Njombe, leo tarehe 1 Mei, 2026 amesema kuwa mwaka huu hakutakuwa na maboresho ya maslahi ya wafanyakazi.
Rais Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani inayoadhimishwa Kitaifa Mkoani Njombe, leo tarehe 1 Mei, 2026 amesema kuwa mwaka huu hakutakuwa na maboresho ya maslahi ya wafanyakazi kwasababu mbalimbali ambazo ametaka kuwa TUCTA hawakuja na madai mapya bali...
Alphonce Muyinga akizungumza leo Aprili 21, 2026 aliposhiriki Kongamano la Kitaifa la Mama Lishe na Baba Lishe Tanzania katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano JNICC, amesema kuwa, “Heche ni kama debe tupu; sisi wazalendo tunapojitokeza kumzungumzia ni kama tunampa elimu, na tutachukua hatua pale...
ANAANDIKA MWANASHERIA MKUU WA CHADEMA
DR. Rugemeleza
Kwa vyovyote itakavyotolewa na kusema Tume ya Jaji Chande Othmani Juu ya Vurugu na Mauaji ya October 29, 2025 ni batili na haramu tokea ilipoundwa. Kwa sababu zifuatazo:
1. Imeundwa na Samia Suluhu Hassani ambaye ndiye mtuhumiwa namba...
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akihojiwa na Wasafi TV amesema kuwa Deni la Taifa linakua kwa kasi kwa sababu fedha hizo zinaenda kwenye miradi ila kuna watu wanapotosha kuonekana fedha hizo zinaliwa
Kauli ya Madam Rita kwa Media ya Mike 360
-------
Jumuia ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii (JUMIKITA) kupitia Mwenyekiti wake, Ndugu Shaaban Matwebe, imesikitishwa na kulaani vikali kitendo kisicho na heshima wala uungwana kilichofanywa na Madam Rita dhidi ya chombo cha habari cha...
Namibia imekataa ombi la leseni ya huduma ya intaneti ya satelaiti ya Starlink, kampuni inayomilikiwa na Elon Musk, ikisema haiwezi kufanya kazi nchini humo bila angalau asilimia 51 ya umiliki kuwa mikononi mwa Wanamibia.
Mamlaka za mawasiliano zilisema kampuni hiyo haijakidhi masharti ya...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watu sita kwa tuhuma za mauaji ya Roland Mollel Askari Polisi mkazi wa Jiji la Arusha, yaliyotokea tarehe 15.04.2026 usiku huko katika mtaa wa Mlimani, kata ya Muriet Jijini Arusha.
Uchunguzi wa awali umebaini kuwa, tukio hilo la mauaji lilitokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.