Kumetokea tukio la aina yake katika mgodi wa madini ya almasi wa Mwaduiuliopo katika wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga ambapo askari polisi wa kikosi cha kutuliza ghasia wa jeshi la polisi mkoa wa Shinyanga Pc Idd Makame(25) amejeruhiwa vibaya mdomoni kwa kung'olewa meno sita baada ya kupigwa...
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imewaachia huru wafanyabiashara watatu, wakiwemo mume na mke, waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha miaka 13 na miezi sita jela kwa sababu ya wizi wa Sh bilioni 1.1 katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya (EPA) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Walioachiwa huru ni mume...
OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali (CAG), imemaliza kazi
ya ukaguzi maalumu katika matumizi
ya mabilioni ya shilingi katika Mamlaka
ya Bandari (TPA). Akizungumza Dar es
Salaam jana, Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali
(PAC), Mbunge wa Ludewa, Deo...
enyi mabwege hebu mnapopost mtoe mchanganuo wa hizo gharama za saa 1 hewani na ulinganishe na hizo shule..au una maana yale madarasa ya chini ya mibuyu.?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.