Kwa Mayele kule hawawezi mwachia kwa sasa labda msimu mwinge ujao.
Sababu ligi yao bado inaendelea na hadi sasa yeye ndiye kinara wa mabao akikabana na mchezaji mmoja hivi 12 kwa 12.
Pia mshahara anaolipwa ni mrefu ambo akihitaji huku kwetu kutaibuka makundi kwa wachezaji.
Kuhusu Fei nae...
Kama ni kuzungumzia nyoka wakali labda yaweza kuwa kweli,
Lakini kama ni wingi wa nyoka nadhani nachingwea inaongoza jaribu kufika huko ujionee,
Kule miaka ya nyuma kidogo paliletwa mladi wa nyoka kutoka nje ili waje kupambana na panya ile mijoka ikala panya ikanenepeana na kuzaliana kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.