Recent content by Ceteris

  1. C

    Matokeo ya kidato cha sita ya mbunge wa Simanjiro, Ole Sendeka

    Grades in paper does not count, what matters most is in this current wirld is your performance in a given work. So is Hon. Sendeka delivering his services efficiently?
  2. C

    Edwin Mtei asikitishwa na alaani kitendo cha Tundu Lissu kumtukana Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere

    Mhe. Tundu Lissu Amesamehewa bure duniani na mbinguni
  3. C

    Aibu ya mwaka yampata Lissu!

    Mhe. Lissu size yake ni Mhe. Rais pamoja na wtumishi wote wa Ikulu....hongera sana Wakili Msomi Tundu Lissu
  4. C

    Mlipuko mkubwa waitikisa Arusha!

    CCM walisema mkiwachagua upinzani wataleta vita, sasa ili kuhalalisha kauli yao na ili wasiaibike mchana, inabidi polisiccm wawe wazembe, wasifanye kazi vizuri ili matukio kama hayo yatokee na wasema tuliwaambia as if upinzani una miliki jeshi au polisi. Tunataka taarifa na hatua za waliolipua...
  5. C

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumamosi, Tarehe 12 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    Hii nchi sipokuwa makini itagigwa upofu wa hali juu zaidi na majanga yatatuangukia
  6. C

    Tamko kutoka TBC: Mvua iliathiri mitambo wakati wa hotuba ya Lissu

    TBC inatumika vibaya sana, ni jambo la kushangaza ktk karne hii ya 21 wanaogopa mawazo ya mtu mmoja yasikike kwa watu wengine wakati katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ya 1977, ibara ya 18 inatoa uhuru wa kila mtu kutoa mawazo yake kwa maneno, maandishi, au kwa kuchora. Sasa hii mitambo...
  7. C

    Matumizi ya ict mijini na wabunge wa chadema

    Kama kuna watu wana nafasi kubwa sana ya kufikisha ujumbe kwa wananchi wao kwa gharama ndogo sana basi ni waheshimiwa wabunge wa CDM walioaminiwa na wananchi mwaka 2010 na kupewa majimbo/majiji makubwa hapa nchini. Kwa jinsi sayansi na teknolojia ya ICT ilivyokua kuanzia 2010 hadi sasa, Wabunge...
  8. C

    Wasabato ujumbe wenu huu hapa

    Ole wao waandishi na Mafarisayo, hawatauona ufalme wa mbinguni
  9. C

    Waraka wa tatu wa Lema kwa rais Kikwete

    ]Nimeshindwa kuunganisha kile alichokianda mhe. na hali ya mambo kwa sasa katika Taifa letu la Tanzania, nilifikiri vita vya imani vimeingia kwenye Katiba mpya, lakini hajasema hivyo. Hii ni hatari kama mtu anaweza kuamka asubuhi na mke wake na wakaamua kumwandikia mkuu wa nchi waraka wenye...
Back
Top Bottom