Recent content by Celestial

  1. C

    Mkuu wa Wilaya mstaafu asalimisha silaha polisi, polisi wamchunguza

    Mmmh haya tumemuona Scolla Sent using Jamii Forums mobile app
  2. C

    Mwanga wa ajabu wa Jua leo Dar es Salaam saa 12:10 jioni, rangi ipo Kama nyekundu au Chungwa

    Ule mwanga unaashiria matukio mawili muhimu ( huenda yametokea). La kwanza ni supernova ya Betelgeuse red star, au la pili ile astroid inayosemekana kuikaribia sana dunia imepita jirani na maeneo yetu imetoa mwanga kutokana na friction. Tutapata uhakika zaidi kutoka kwa wataalam wa sayansi za...
  3. C

    Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Tibaijuka aliaga Bunge kwa kilio

    Wabunge wenye miaka zaidi ya 65 ni vyema mkaaga kama mwenzenu alivyofanya. Ng'atuka kwa heshima usisubiri ukaaibishwe na vijana wa miaka 30 jimboni. Wastaafu anzeni kuaga, mheshimiwe na vizazi vijavyo, mkisubiri kushindwa mtashindwa na kuzomewa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. C

    Tunaotorokaga kazini bila ruhusa ya Boss tukutane hapa kushare visanga vilivotukuta

    Hahaha....jamaa wa IT sio kabisa. Nimeapa kutopanda hayo magari. Na usiombee upande left hand na anaendesha mrundi au mrwanda ni fulu kuyumba na kutoka nje ya road Sent using Jamii Forums mobile app
  5. C

    Nilihofia huenda niliambukizwa Corona. Namshukuru Mungu nimepona

    Ndugu, Nawasalimu nyote. Wiki iliyopita nilisafiri kwenda Dar. Na kwa kuwa idadi ya wagonjwa wa Corona ni kubwa kwa Dar, ilinilazimu muda mwingi kukaa ndani na kukwepa maeneo yote yenye msongamano. Baada ya siku chache ilinilazimu niende kariakoo. Nilijaribu kukwepa kutumia mabasi ya mwendokasi...
  6. C

    Kwa kauli hii, Rais Magufuli anakiri kuna mabaya yanafanyika chini ya utawala wake?

    Rais hana mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, mkurugenzi wa halmashauri, Ras, Das wala wabunge na madiwani wa kumsaidia kuondoa kero za wananchi. Babalao alibugi kwenye uteuzi. Hawa viongozi wa kwenye halmashauri mbalimbali ni mizigo ya vifusi Sent using Jamii Forums mobile app
  7. C

    Freeman Mbowe: CHADEMA kufanya Mikutano Nchi nzima kuanzia Mwezi wa nne. Bado tunahitaji kujua waliomuua Aquilina

    Bora turelease stress, aluta continuaa. Kuliko kujinyonga bora tukafie vitani Sent using Jamii Forums mobile app
  8. C

    Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

    Tufunge mipaka tutakwishaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. C

    Kenya: Rais Uhuru Kenyatta afunga Shule zote nchini Kenya

    Hongera Uhuru. Ni bora kuchukua tahadhari mapema kabla hali haijawa ya hatari. Tukumbuke kila nchi inapambana kulinda raia wake, hakuna msaada likilipuka hapa kwetu hili KORONA Sent using Jamii Forums mobile app
  10. C

    Ijue historia ya jina Makambako

    Uongo, kambaku au likambaku ni ng'ombe dume Sent using Jamii Forums mobile app
  11. C

    CCM wateseka wananchi kuchangia hukumu ya viongozi wa Chadema

    Wakubwa wamebugi kwenda na maburungutu kumtoa Mashinji. Inaonekana mpango haukuratibiwa na watu makini. Ilitakiwa baada ya chadema kuanzisha michango mitandaoni wanachama wa ccm wangefanya hivyo hivyo. Pesa angepeleka mtu wa jirani wa Mashinji na mwanachama mmoja wa kawaida....Kwa kufanya hivi...
  12. C

    Chama cha Wamiliki wa Mabasi (TABOA) chapinga Kanuni za Latra kwa madai kuwa zinawakandamiza

    Ina maana Sumatra imekufa. Hii nchi kuna vimamlaka vya ajabu lengo kupeana vyeo. Haya sasa anayeshughulikia usafiri wa vyombo vya majini anaitwa nani. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. C

    Ayatollah ashauriwa kuwazuia maujaji kulambalamba madhabahu kuzuia kuenea kwa Corona

    Hahahaaa hii haina tofauti ya kumjeruhi Shetty kwa mawe... Sent using Jamii Forums mobile app
  14. C

    Pata mkopo hadi milioni 40 kwa kiweka dhamana ya kadi yako ya gari

    Sijui kwa nini hizi microfinance za kitapeli hazifungwi. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. C

    Je, ni nini tafsiri ya Mkuu wa Mkoa kutamani kuwa Mbunge? Ni kufuata maslahi manono au Uwaziri?

    Hicho ni kipimo cha uchu wa fedha na madaraka. Wewe mkurugenzi, katibu tawala, mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, mwenyekiti wa bodi, katibu mkuu, nk umepewa dhamana ya uongozi wa kuwatumikia wananchi. Leo hii kwa kuongozwa na uchu wa pesa unaacha nafasi uliyoaminiwa na watanzania kupitia rais...
Back
Top Bottom