Kwa asilimia kubwa huu uzi una uongo kwa asilimia 100,..hospital kuna kada tofauti hakuna madaktari peke yake,pale kuna levels za Medical attendant,Nurses,wataalam wa maabara,wataalamu wa Mionzi,Wataalam wa meno,Clinical officers, AMO, MD na madaktari bingwa,..mwanafunzi yoyote anayesoma kada ya...