Recent content by CebJoe

  1. C

    Pita hapa ndugu kwa ufafanuzi zaid kuhusu ualimu

    kama una D ktk masomo yote ya phy, bios na chem, kwa nini usiombe kozi za afya? hizo znafaa sana afya, na uhakika wa nafasi ya certificate upo
  2. C

    Pita hapa ndugu kwa ufafanuzi zaid kuhusu ualimu

    Sikiliza mdogo wangu nikwambie! kwanza umejitahidi kupata hizo marks, ni wengi wameztaman ila hawakupata, Wizara imesema inachukua alama za chini za IV ya "33 & 34" kwa usemi huo wewe vigezo unavyo, cha msingi lipa hyo 10000 yao kwa Mpesa then nenda ukafanye registration! hao wanaokwambia...
  3. C

    Jamani naomba kufahamu kama fomu za nafasi za masomo wizara ya afya kama zimetoka

    Hata mie nmeiona hyo kwenye official facebook page ya NACTE wakionesha kwamba muda wa kuanza kuomba ni sasa na deadline ni 31st july! na maombi yote itakuwa kwa njia ya mtandao wa CAS (central admission system) lkn wizara ya afya bado cjaona hlo tangazo vle vle
  4. C

    Kwa wanaosoma md Bugando mwaka wa 4

    Govt inakupa 2.6mil out of 3.7 mil ambayo ni ada y chuo....the remaining 1.1mil unaongeza mwenyewe.....ukiongeza michango mingine ya chuo inazd hapo 1.1mil.....mf. bima, serikali ya wanafunzi , hostel ,e.t.c .....thats it.
  5. C

    Vyuo vya ualimu grade A!

    On top of that, wizara ya elimu inatoa lini nafasi za kuomba kujiunga na vyuo hivi vya ualimu? naombeni kusaidiwa, na kama wizara haitoagi hizo nafasi, un apply kupitia wapi!? Natanguliza shukrani.
  6. C

    Siri nzito ya 'muccob's" hii hapa.

    Kumbuka waweza enda chuo na div III yako ukatoka na GPA nzuri zaidi ya aloingia na div I. kama chuo ni kibovu ni kibovu tu hata kama utaingia na div I na kama ni kizuri watatoka wazuri hata kama wameingia na div III.....
  7. C

    Msaada tafadhali ;

    Can someone download his/her certificate direct from necta!?
  8. C

    CHADEMA: Kama Rais akipuuza kuunda tume huru ya majaji Arusha nini hatima yake?

    I think he should give them the deadline, that,if you won't do anything up to this date, then am gonna release it publically! Maybe it will enforce them make a step!
  9. C

    Msaada juu ya kozi za engineering zinazolipa Tz.PLEASE HELP!

    Kuna coarse inaitwa ACTUARIAL SCIENCE, Ipo UDSM!
  10. C

    Vyuo vinavyotoa degree za mezani Tanzania!

    Unaposema Tumaini unamaanisha branches zote za Tumaini including KCMC? msaada tafadhali wakuu
  11. C

    Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa

    pole I sana wale wrote walofikwa na janga hill!
  12. C

    Kauli kutoka bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu soma hapa

    Kwa habari za kutia kiwewe hili jukwaa linatisha mno...maana sasa presha yangu ilikuwa kawaida, ila naona sasa mwazidi kuipandisha....!
  13. C

    Bodi ya mikopo mambo yameiva muda wowote kuanzia siku ya leo mambo yatakuwa hadharani

    Mjomba mkopo ni kwa wale waloandikiwa PRIORTY 2,kwa mujibu wa HESLB.
  14. C

    Tofauti ya elimu vyuo binafsi na vile vya selikali.........

    mbona kcmc na vyuo vingine cvioni hapo kwenye rank?
  15. C

    First year ukiingia tu chuo kiasi hkii unapewa mkononi"

    Mmh! Bac kama ndivyo...hata hiyo elimu yawezekana ina chuma ulete ndani yake.
Back
Top Bottom