Tofauti ya elimu vyuo binafsi na vile vya selikali.........

waliochaguliwa au wanaosoma tumaini dar UKISOMA TUMAINI HATA UWE NA FIRSTCLASS UPATI AJIRA

Kaka yangu amesoma pale tumaini LLB na ameshapata ajira,je research yako umeifanya lini? acha kudanganya umma alafu unakaa ukibweteka kwa kusema uongo,kama mtu anamaliza form six na kupata ajira sembuse alimaliza chuo!
N.B.KUNA WALIOSOMA CAIRO UNIVERSITY LAKINI WANAWAZIDI WALIOSOMA HAVARD UNIVERSITY KWA MAFANIKIO KAZINI
 
kaka si sahihi kabisa unaposema hivyo mimi namifano hai ya watu wame soma LLB. tumaini dar wako kwenye law firm nzuri tu..ila ukweli ni kwamba ukisoma private mara nyingi utagraduate na gpa kubwa unlike public univ..public gpa kubwa ni ndoto kabisa..nikisema kubwa namaanisha kuanzia upper second..ova...
 
Kunatangazo la ajira lilikataa waombaji wa tumainiuniversity hawatakiwi sababu degree zake hazina ubora hata firstclass
 
Chuo kinachukua iii.,iii.i5,iii.16 na iii. 17 mabongolala ,uwezo mdogo ,rushwa kwa malecturer wapate gpa kubwa ,
 
ubora wa chuo ni pale upatapo ajira
Waweza kusoma chuo cha serikal haimanishi kuwa ndo utawahi kuingia kwenye syatm kinacho mater is whm you know.
 
ur ryt Msafiri! Serikalin hakuna longolongo,vyuo binafs wapo kbiashara ndo mana udahl mkubwa sana..! Pesa mbele...

Fanyeni utafiti vema kabla ya kuhukumu chuo chochote. Katika index ya vyuo vya Tanzania, ranking haioneshi kama kuna tofauti kati ya vyuo vya serikali na vya binafsi maana vimo vya serikali na vya binafsi vilivyo bora na vimo vya serikali na vya binafsi vilivyo dhaifu. Hivyo ubora wa vyuo kwa TZ si suala la vya umma na vya binafsi bali vya nani msimamizi katika vyuo hivyo. Hata hili la tuition fee kubwa kimsingi vyuo vyote
 
Mzumbe,sua,muccobs,udsm,udom, yani huko ukose vyuo vyoote vya serikali lazma utakuwa bongolala kama watu wa tumainiuniversity,teku,etu,ruco
 
Ila mbona sioni mambo kama aya kwenye mitandao ya kijamii ya nchi zingine isipokua tanzania tu,vp unaonaje tukijadili mfumo unaotumika kutoa elimu isiyokidhi mahitaji ya kijamii?kaa ukijua kua great thinker hawalinganishi ubora kitu kilicholetwa na sistim ambayo si bora.Ebu jaibu kutoa ushauri kwa sekta usika kuhusu nini kifanyike kwani vyuo binafsi na vya serikali vyote havitoi elimu inayoridhisha hapa nchi

AHSANTE SANA, NADHANI HAYA NDO MAJIBU HASWAA. Maana anapoongelea ubora katika mfumo usio bra anategemea nini? Na nijuavyo mimi mitaala/course work km sikosei na units za somo husika ktk vyuo vyote ni uniform.

Ma lecturers ni hawa hawa wananyang'anyana priivate and gvt, then what do u expect?

Mfumo kwanza ukiwa bora, then tunaweza kuongea.
 
asilimia kubwa ya waliopo hapa kwenye mjadala huu ni VICHWA MAJI kama aujafanya research unaropoka nini?SASA kwa tathimini niliofanya ya uwezo SAMITI nimegundua yupo bado form six hajajua anaongea nini
 
Jodoki Kalimilo kwa bongo tunasoma ili tupate ajira alafu changamoto zitapambana na salary

Hilo halina ubishi ndio maana unakuta mtu akiajiriwa anapiga mwaka hivi ndio ana gain momentum baada ya kuzoea mazingira na kama ukikuta vichwa maji waliotangulia mtu anaweza akapiga kazi hata miaka 2 ndio anakua safi
 
UNIVERSITIES IN TANZANIA BY 2012 university web ranking
1.UDSM
2.HKMU
3.SUA
4.MUHAS
5.MMU
6.ST. AUG
7.MZUMBE
8.UDOM
9.IMTU
10.ST.JOHN
11.UA
12.ARDHI
13.THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR
14.TUMAINI
15.TEKU
16.ZANZIBAR UNIVERSITY
17.MUM
 
UNIVERSITIES IN TANZANIA BY 2012 university web ranking
1.UDSM
2.HKMU
3.SUA
4.MUHAS
5.MMU
6.ST. AUG
7.MZUMBE
8.UDOM
9.IMTU
10.ST.JOHN
11.UA
12.ARDHI
13.THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR
14.TUMAINI
15.TEKU
16.ZANZIBAR UNIVERSITY
17.MUM

mbona kcmc na vyuo vingine cvioni hapo kwenye rank?
 
Hilo halina ubishi ndio maana unakuta mtu akiajiriwa anapiga mwaka hivi ndio ana gain momentum baada ya kuzoea mazingira na kama ukikuta vichwa maji waliotangulia mtu anaweza akapiga kazi hata miaka 2 ndio anakua safi
nakubali hapo mkuu
 
UNIVERSITIES IN TANZANIA BY 2012 university web ranking
1.UDSM
2.HKMU
3.SUA
4.MUHAS
5.MMU
6.ST. AUG
7.MZUMBE
8.UDOM
9.IMTU
10.ST.JOHN
11.UA
12.ARDHI
13.THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR
14.TUMAINI
15.TEKU
16.ZANZIBAR UNIVERSITY
17.MUM

aliyetoa hii rank alikua kalewa,st.john ikazidi aru?st augustne ikazidi mzumbe?
 
Elimu ya vyuo vya serikali na binafsi ipo sawa .....kinachotakiwa ni mi pesa na ada ili usome kama huna pesa utaabaki hivyo hivyo....na elimu yako ya form six ambayo itakusaidia kufundisha tution kama ukitaka kujua kaulize ifm ada ya chuo ni bei gani,
tumaini ada ya chuo bei gani
mzumbe ada ya chuo bei gani
halafu wewe unauza sigara barabarani una sevu ili upate ada ya chuo
 
aliyetoa hii rank alikua kalewa,st.john ikazidi aru?st augustne ikazidi mzumbe?

kaka ebu kajifunze ni kwa jinsi gani wanatafuta ubora wa vyuo,siyo kuja hapa kwa visa vyako vya kuambiwa,et saut ikazidi mzumbe na st john ikazidi arusha? yani unatia aibu!mawazo yako mabaya sana kwa private institu
vp kuhusu usa kutoa 62% na uk 12% na kwenye top 100 ,vp uko hakuna private instu
 
Chuo kinachukua iii.,iii.i5,iii.16 na iii. 17 mabongolala ,uwezo mdogo ,rushwa kwa malecturer wapate gpa kubwa ,

Ebu angalia ni kwa nini uyu mtu alipata 1,2 au 3,na katika mazingira gani ,ndo tujadili suala la mabongolala,uwezi kusema mtu amesoma feza boys na kupata 1.7 ukamlinganisha na mtu aliyesoma same sekondari na kupa 3 ya 13.
EBU JARIBU KUFIKIRI KWA KUTUA MAZINGIRA KWANZA NA NIKWANINI KULIWEKWA KUA UKIPATA PRINCIPAL YAANI EEE UMEFAULU,JE WEWE UNAANGALIA SUALA LA MTU KUA KILAZA NA GENIUS KWA KUPATA 1,UKO NYUMA YA DUNIA SANA
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom