ruhi
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 3,700
- 5,316
waliochaguliwa au wanaosoma tumaini dar UKISOMA TUMAINI HATA UWE NA FIRSTCLASS UPATI AJIRA
Kaka yangu amesoma pale tumaini LLB na ameshapata ajira,je research yako umeifanya lini? acha kudanganya umma alafu unakaa ukibweteka kwa kusema uongo,kama mtu anamaliza form six na kupata ajira sembuse alimaliza chuo!
N.B.KUNA WALIOSOMA CAIRO UNIVERSITY LAKINI WANAWAZIDI WALIOSOMA HAVARD UNIVERSITY KWA MAFANIKIO KAZINI