Recent content by CCSN

  1. CCSN

    Vijana kutimiza malengo yao

    Ni kweli changamoto ni nyingi, na kila kila mtu anapitia uzoefu wake. Ila palipo na nia na ujasiri, kuna njia
  2. CCSN

    Vijana kutimiza malengo yao

    Kwa namna gani vijana wanaweza kutumia uwezo wao ipasavyo ili kutimiza ndoto/njozi/malengo yao bila kurudishwa nyuma na mazingira au changamoto katika jamii wanayoishi? Swali hili limekuwa likishughulisha kituo chetu cha ushauri, katika juhudi ya kuwezesha vijana katika maisha yao. Naam...
  3. CCSN

    Fursa ya Kazi - Kuendesha Guest House Mwanza

    Ahsante kwa maombi yaliotufikia. Tutawasiliana na waombaji kuhusu utaratibu unaofuata (usaili, maamuzi n.k.)
  4. CCSN

    Fursa ya Kazi - Kuendesha Guest House Mwanza

    Habari wana Jamii, Ninatafuta mtu anayeweza kuendesha nyumba ndogo ya wageni iliyoko mjini Mwanza, maeneo ya Buswelu. Mwombaji kazi awe na elimu na uzoefu katika mambo ya biashara na kompyuta (kwa ajili ya uendeshaji wa biashara hiyo na kuitangaza katika majukwaa tofauti tofauti likiwemo la...
  5. CCSN

    Nisaidieni jinsi ya kufanya marketing

    Napenda kuongezea kwa wenzangu waliougusia kutumia mtandao/mitandao ya jamii. Ukitathmini kundi la watu unaowalenga katika biashara yako na kundi la watu wanaotumia huduma yako tayari (wateja), unaweza kuona namna ya kutumia mtandao kwa fanaka zaidi (je, wanatumia mitandao gani? Unaweza...
  6. CCSN

    Nina shahada ya Uhandisi wa Mitambo, natafuta ajira

    Nami napenda kukutia moyo katika utafutaji wa kazi, maana changamoto hii inaweza kumpata mtu yeyote. Tofauti na sehemu za kutafutia kazi kama TaESA, ZoomTanzania na sehemu zilizotajwa na watangulizi wangu, tazama pia kazi ambayo haujasomea lakini unaweza kuifanya, k.v. Customer Care kwenye...
  7. CCSN

    Kujikwamua kielimu au kibiashara huku ukijitegemea

    Habari, wanajamii? Kuna wazo moja ninapenda nililete kwenu nikitumai kubadilishana mawazo nanyi. Kuna huu mfumo, uliojiimarisha hasa katika nchi za magharibi, wa kujisomesha kwa kufanya kazi au wa kuwekeza katika biashara, bila kuitegemea biashara hiyo kiuchumi. Jambo hili linawawezesha - hasa...
  8. CCSN

    Tunahitaji ushauri

    Ushauri unatanguliwa na pongezi za kuhitimu elimu ya sekondari. Uwanja sasa ni wako, katika kujitimizia njozi zako za maisha na kutoa mchango wa maendeleo katika jamii inayokuzunguka. Maswali ya kujiuliza ni kuwa: je, unajiona wapi baada ya miaka mitano katika taaluma yako au baada ya kumaliza...
Back
Top Bottom