Recent content by cchrispian

  1. cchrispian

    Upinzani mnakwama wapi?

    Hayo ndo mambo ya magazeti ninayoyaongelea. Mnaambiwa muache mnavunja sheria, mnalazimisha.... Asa mnategemea nini. Wafanye mambo ya maana hii haiwasaidii kitu
  2. cchrispian

    Upinzani mnakwama wapi?

    Hivi viongozi wa vyama pinzani mbona wanajiangusha? Muda kama huu ambapo wananchi hawana imani na chama tawala ilibidi wao ndo waongoze kutoa hoja zenye msimamo. Hata kama hawapo bungeni, wangetumia muda huu kutoa maoni na kampeni ndogondogo za kuunga mkono wananchi. Ila naona wao ndo kwanza...
  3. cchrispian

    Serikali ilipokosea tozo za miamala ya Simu

    Benki za simu kama M-Pesa zilianzishwa ili kiwasaidia wananchi ambao hawana uwezo wa kufungua akaunti benki au hawaishi karibu na benki kuwawezesha kuweza kutunza pesa kwa usalama na toka zianzishwe zimeongeza sana mzunguko wa fedha hasa kutoka mijini kwenda vijijini. Kuna vijiji ambavyo hakuna...
  4. cchrispian

    Nahitaji ushauri: Namna ya kupiga plasta katika nyumba

    Mi ni fundi wa vyote ushauri wangu sasa ni hiv, kama una2mia maji yenye chumvi kwa ujenzi ni vema ukachanganya huo mchanga na cement na chokaa wakat wa plaster ili utakapopaka rangi idumu. Na km maji hayana chumvi changanya mchanga na cement piga plaster yako ikikauka vizur km una uwezo skim kwa...
  5. cchrispian

    Mwezi ukilipuliwa kwa bomu la nuclear, nini kitatokea?

    Hakutakuwa na tides. Gravitational force itapungua. Dunia itatumia siku chache zaidi kulizunguka jua
  6. cchrispian

    Waliochaguliwa kujiunga na Stashahada ya Elimu 2015/2016-UDOM

    Tuma 1000 mpesa kwenye namba 0754873739 pamoja na namba yako ya simu na namba ya mtihani tukuangalizie selection
  7. cchrispian

    Matokeo ya Kidato cha Sita 2015 yametangazwa

    Yapo, sema itakua hawajamaliza kuupload
  8. cchrispian

    ATC First years

    Electric Engineering
  9. cchrispian

    ATC First years

    Naomba wale tuliochaguliwa kujiunga chuo cha Ufundi Arusha (ATC) tufahamiane
  10. cchrispian

    Msaada: Mwanangu kala kinyesi chake

    Mpe maziwa, huo ni uchafu tu wala hamna sumu yeyote. Mpe maziwa afu mpeleke kitandani alale akiamka atakua poa
  11. cchrispian

    Dodoma kimenuka, Polisi watanda eneo la mkutano, baadhi ya wananchi wanaandamana

    rushwa za membe zakamatwa na wafuasi wa lowassa zikiwa zunapelekwa kwa wazee wa kamati
Back
Top Bottom