Recent content by CBNJR

  1. C

    Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

    Zote ni siasa tu.
  2. C

    CHADEMA Yaahidi Kulifumua Jeshi la Polisi na Kuliunda Upya

    Mimi napendekeza tu lingeitwa TANZANIA POLICE SERVICE sio TANZANIA POLICE FORCE.
  3. C

    Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

    Unaongea tu wewe,ila hulijui kabsa kanisa katoliki,kuna mwanausalama gani nchi hii anayeweza kumkamata kiongozi wa kanisa katoliki??unafikiri hao wanausalama wanatoka wapi?? Rais wako na mwenyekiti wa chama chako mwenyewe alienda vatican kutambika,halafu dogo unaongea ongea tu kama ulianza kutoa...
  4. C

    CHADEMA imetuangusha, Ni wakati sasa wa Mbowe kuachia ngazi!

    Jamani tuwe wazi tu kama tunakipenda chama. Vipi,uongozi wa juu mbona haubadiliki? Wakati mwingine tuwe wa kweli jamani,huku chini hali ni mbaya. Najua tuko wazuri kubishana kwenye vilinge vya kahawa lakini kama lengo ni kuchukua nchi,top management kuwe na sura mpya. Watu tumechoka bna,hakuna...
  5. C

    Mkuu wa chuo cha SAUT Mwanza ajiuzulu

    Hakuna cha source lecture wala nn hapa,watu ambao huwa anawaambia ukweli ni mapadri wenzake tena sio mapadri wakufunzi,wale wa kawaida tu wanafunzi..malecture watoe wapi hizo taarifa,hawana huo muda ndo mana wanaongea juu juu tu
  6. C

    Mkuu wa chuo cha SAUT Mwanza ajiuzulu

    Acha kudanganya bwana,mtoa mada.. nani kakudanganya kama mkuu wa chuo cha SAUT amejiuzuru kwa sababu za kijinga kama hizo. Kwa akili zako zilivvyo fupi,wewe ungeweza kuwatetea watu waliokamatwa wanaibia mitihani na wamekiri au unaweza kuwatetea watu wanaopewa ada na kwenda kufanyia biashara...
  7. C

    Taarifa ya Serikali juu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba yamkera Jaji Warioba! Afunguka...

    Ukiwa kijana halafu una laana ni shida,utakuwa unaongea uji tu
  8. C

    SAUT Mwanza yasimamisha wanafunzi 8!

    Yani kwa kifupi,wamefukuzwa chuo,naona mnauma maneno. Tena mmojawapo ni clasmet wangu,procurement 2. Jamaa alikuwa analiweza sana hilo somo alilokamatwa kaandika mkononi majibu,Cost Acc. Alianzia cheti,hakuwahi kupata B plus,ni A tu kwnye cost. Sasa,tunajitahdi apunguziwe adhabu,arudie mwaka...
  9. C

    Rais wa Serikali ya Wanafunzi chuo kikuu cha Dodoma(UDOM) mbaroni kwa ubadhilifu wa pesa

    Ni changamoto kwenye mambo ya pesa na ujana. Hivi leo ndo nimetoka kuapishwa kuwa waziri mpya wa fedha-SAUTSO nina imani Rais wangu mpya hawezi kufanya hayo,ni mtu makini
  10. C

    Wazo la kutaka katiba mpya lilikuwa la nani?

    Ni wazi swala la kutaka katiba mpya lilitoka kwa walio wengine inawezekana sio wote sababu nina imani kwamba kuna watu hawana habari kama kuna katiba au kama wanayo basi hawajui hata kilichomo ndani yake.. Swala la msingi ni kwamba,kama mheshmiwa aliamua aanzishe mchakato wa katiba mpya huku...
  11. C

    Kwani mwenye CCM ni nani??

    Mkuu,ina maana hao wabunge wote,viongozi wa halmashauri,wenyeviti wa vijiji,na vitongoji,wote wanataka serikali 2 na kura ya wazi?
Back
Top Bottom