Pole sana ndugu,jua kuwa wewe si wakwanza kupitia magumu na wala si wamwisho..na futa kabisa wazo lakujiuwa coz wampa nafasi shetani yakujiinua...kaza buti kwenye maombi mafanikio yapo karibu.
Msave my every thng kama kwel wampenda...coz ni mkeo huyo na ndio wakufa na kuzikana...inaonyesha anakujal sana...na asipofanya hivyo utalalamika hupendwi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.