Ukiona hivi, ujue usha disco kwenye moyo wake.

Ukiona hivi, ujue usha disco kwenye moyo wake.

sex_vs_time.gif

lol tyta umetisha
nimecheka jamani
 
hahahahahaaaaaa.....so funy...nimeipenda hiyo...hasa jibu la sms ya HABARI.
 
Bwahahaaaaa, tenx my ndugu kwa kunifanya nicheke na nisinzie vizuri. Et habari - za kimataifa kutoka channel ten hahaha
 
Teh teh teh! Nimechekaje?senior boss bhana..ila ni ukweli kabisa kuna shost wangu alipatwaga na hii, yaani ilifikia hata akimtext asubuhi atamjibu jioni au asijibu kabisa akiulizwa anajibu hajaiona. Nikamwambia huna chako hapo chapa mwendo. Wanaume wengi siku hizi hawakwambii nakuacha, vituko vyake tu utajikuta umekimbia mwenyewe.
 
Mwanzoni alikuwa akiamka anakusalimia vizuri,anakupigia simu,'Baby Umeamkaje jamani,umeniota??Nakupenda sana,karibu chai jamani,I missed u so much in my dreams jamani,umevaaje leo,wooow,Umependeza,una ratiba gani leo,si ntakuona baadae mpenzi kuna Muvi imetoka,utaniambia unatoka saa ngapi nije nikuchukue,Mwaaaaahhhh Mwaaah Mwaaahhh tena hubby ake'...Miezi mi2 ya mwanzo hiyo,Penzi lina Vibration kali kuliko Motorolla.
Baada ya miezi 6 akaacha kupiga Simu,anakutext tu Goodmorning Baby,Am on my way to Office.Laters!..imetoka hiyo,mpaka jioni tena
Baada ya Mwaka sasa,anaamka tu kama ameota mizimu,hasalimii wala nini mpaka umshtue kama taxi za Tandale Uzuri,na ukipata bahati anakutumia Meseji KAVU kuliko Chips..
Mpenzi wako kabisa,Baby ake,ambaye wewe unafeel ndo baba watoto wako ajaye au mama watoto ajaye na unamringishia sana mtaani na kwa mashosti, anaamka anatuma meseji,ukifungua Inbox unaona HONEY BOO BOO unafurahia kweli, unakuta meseji imeandikwa,
'HABARI' kamaliza hapo..Eti Hubby ake huyo....
Basi na wewe mjibu...ZA KIMATAIFA KUTOKA CHANNEL TEN!
Dalili za Penzi kufa au kuwa ICU limewekewa Dripu!Habari kwani mi Ufoo Saro!

OVER !!!

nenooooooo!!
 
Teh teh teh! Nimechekaje?senior boss bhana..ila ni ukweli kabisa kuna shost wangu alipatwaga na hii, yaani ilifikia hata akimtext asubuhi atamjibu jioni au asijibu kabisa akiulizwa anajibu hajaiona. Nikamwambia huna chako hapo chapa mwendo. Wanaume wengi siku hizi hawakwambii nakuacha, vituko vyake tu utajikuta umekimbia mwenyewe.

Hahahaha pole yake sanaaa. Ila hyo ni kwa pande zote mbili. Hata nyie wanawake mnatufanyiaga vimbwanga sana at tyms kibaba unabaki unaugulia kimya kimya. Hyo michezo mnayo sana. Unakuta umemtumia dem text ndefu alaf anakujibu na " K " akimaanisha OK. Inaboa sana. Au unakuta kama we humcheck kwa simu basi na yeye pia hajigusi, anakula ganzi tu. Ushirikiano poor kabsa. LOL
 
Hahahaha pole yake sanaaa. Ila hyo ni kwa pande zote mbili. Hata nyie wanawake mnatufanyiaga vimbwanga sana at tyms kibaba unabaki unaugulia kimya kimya. Hyo michezo mnayo sana. Unakuta umemtumia dem text ndefu alaf anakujibu na " K " akimaanisha OK. Inaboa sana. Au unakuta kama we humcheck kwa simu basi na yeye pia hajigusi, anakula ganzi tu. Ushirikiano poor kabsa. LOL

ndo kinachotkea kwangu sahv
 
Mwanzoni alikuwa akiamka anakusalimia vizuri,anakupigia simu,'Baby Umeamkaje jamani,umeniota??Nakupenda sana,karibu chai jamani,I missed u so much in my dreams jamani,umevaaje leo,wooow,Umependeza,una ratiba gani leo,si ntakuona baadae mpenzi kuna Muvi imetoka,utaniambia unatoka saa ngapi nije nikuchukue,Mwaaaaahhhh Mwaaah Mwaaahhh tena hubby ake'...Miezi mi2 ya mwanzo hiyo,Penzi lina Vibration kali kuliko Motorolla.
Baada ya miezi 6 akaacha kupiga Simu,anakutext tu Goodmorning Baby,Am on my way to Office.Laters!..imetoka hiyo,mpaka jioni tena
Baada ya Mwaka sasa,anaamka tu kama ameota mizimu,hasalimii wala nini mpaka umshtue kama taxi za Tandale Uzuri,na ukipata bahati anakutumia Meseji KAVU kuliko Chips..
Mpenzi wako kabisa,Baby ake,ambaye wewe unafeel ndo baba watoto wako ajaye au mama watoto ajaye na unamringishia sana mtaani na kwa mashosti, anaamka anatuma meseji,ukifungua Inbox unaona HONEY BOO BOO unafurahia kweli, unakuta meseji imeandikwa,
'HABARI' kamaliza hapo..Eti Hubby ake huyo....
Basi na wewe mjibu...ZA KIMATAIFA KUTOKA CHANNEL TEN!
Dalili za Penzi kufa au kuwa ICU limewekewa Dripu!Habari kwani mi Ufoo Saro!

OVER !!!
hayatuhusu

 
Teh teh teh! Nimechekaje?senior boss bhana..ila ni ukweli kabisa kuna shost wangu alipatwaga na hii, yaani ilifikia hata akimtext asubuhi atamjibu jioni au asijibu kabisa akiulizwa anajibu hajaiona. Nikamwambia huna chako hapo chapa mwendo. Wanaume wengi siku hizi hawakwambii nakuacha, vituko vyake tu utajikuta umekimbia mwenyewe.
the best approach i prefer more,yanini umwambie???kimyakimya tu,
 
Meseji KAVU kuliko Chips..

'HABARI' kamaliza hapo..Eti Hubby ake huyo....
Basi na wewe mjibu...ZA KIMATAIFA KUTOKA CHANNEL TEN!

Dalili za Penzi kufa au kuwa ICU limewekewa Dripu!Habari kwani mi Ufoo Saro!

OVER !!!

Mkuu umetisha, umenivunja mbavu asubuhi.
 
Teh...umetisha ni kweli kabisa mapenzi yanayoishia yanajulikana sema huwa tunakuaga wabishi tu ku force
 
ndo kinachotkea kwangu sahv

Mkuu ka vp piga chini tu... ufanye ya maana, u got a great life ahead of you. Mwanamke hupaswi kumpa moyo wako jumla jumla utakuja kulia siku, ujitundike buree. Mwanamke wangu tunapendana sana but still nakaa nae kwa akili sanaaa. Mind on ma money, i trust non !!! Times have changed.
 
Back
Top Bottom