Recent content by Cathylin 2002

  1. Cathylin 2002

    Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

    M Mil 300 si ni dollar 140000 Sasa. Ni pesa ya kuimbwa? Maskini bhan
  2. Cathylin 2002

    Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

    Hata kam hujapewa akili bs Tumia common sense Kwenda Zaid kwa manabi / kuja. Church sio ndio kielelezo kua mna Abudu San Maana ya imani sio miujiza was mwamposa/nabii
  3. Cathylin 2002

    Don't be a nice guy

    Bora wali nyama vitani kuliko ugali daga kweny Aman
  4. Cathylin 2002

    Huwezi kumiliki/ kumilikishwa/ kuendesha LC 300 kama hutumii nguvu za giza

    Listen mdogo Wang au mkubwa wangu Uko sahihi lkn nataka uweke statement sawa iko Hivi Kwenye. Maisha ya utafutaji Kuna level ili ufike lazma uwe mtu wa Dini Sana Yani San Yan unashiriki katika madhabau ipasavyo Hapo utavuka viwango lakn Gari sio mafanikio hio L300 sizan ni gari la thaman Zaid...
  5. Cathylin 2002

    Anthony Lusekelo adai Uwezekano wa matajiri kuingia mbinguni ni 70% na masikini kuikosa mbingu ni 99.9%,

    Hata Mseveni alisema masikini hawata rithi ufamle wa mungu Utajiri ni utukufu
  6. Cathylin 2002

    Jirani yangu anafanya kazi gani?

    Umaskin ni shida Sana😂 mpak unajiuliza watu wanaishie lkn angekua mwenzie amejenga Villa na njee Kuna Bentley au Porsche asinge jiuliza. Hata aone Lamborghini iko parking Wew Alie kuambia ukasome Ualimu Nan?
  7. Cathylin 2002

    Haya ndio makadirio ya gharama (ukitumia rate za kiserikali) kusafirisha wasanii 40 Korea

    Wenzio wanashangilia chama na aziz ki yanga wew unawaambia finance bill Ningumu Sana hii nchi Maskini bado
  8. Cathylin 2002

    Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

    Njoo. Uziguani nyumba moja watoto 20 wanategemea. Shamba
  9. Cathylin 2002

    Crown Media inatoa wapi pesa kuajiri wafanyakazi wake?

    Acha ushamba hayo makampuni Wamiliki ni. Walewale wana duplicate business tu Shift za. Wafanyakazi kawaida
  10. Cathylin 2002

    Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani. Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota

    Maisha magum ndio Lin ulisikia wanafunzi usa wanakaa chin? Au shule hamna vyoo? Au Kuna hospital Haina wahudumu ? Au barabara na umeme hamna sehemu nyingi?
  11. Cathylin 2002

    Vijana wenzangu msipoteze muda wenu kusubiri hela za Google, Facebook na TikTok kwasababu ni hela za chai, mtachelewa kufanikiwa

    K Wew nae kwa kukurupuka sasa which group am I talking about? Did I mention someone with database and networking skills? Or some one does CEOS? Sometimes you better shut up you mouth , of courses You Dull
  12. Cathylin 2002

    Vijana wenzangu msipoteze muda wenu kusubiri hela za Google, Facebook na TikTok kwasababu ni hela za chai, mtachelewa kufanikiwa

    On Point Tanzanians Elimu bado sana wengi wana Copy tu hata network yenyewe hawajui inaletaj ela kwa tz niliona msani X ana lalamika eti she has 8milions following but no commercials deal for her ,it's so Sad Again Tz hamna monitization ya network no tiktok fb or ig unakuta watu wanaombana...
  13. Cathylin 2002

    Mahusiano Ya kiafrika vs USA

    Habari wanna jm Leo napenda nionge na vinaja 20s mpaka 35 ni kwa ufupi Moja ya mambo muhimu ni mahusiano je mwanamke gan sio wa kuwa na mahusiano nae kabsa ? ✓kama hawez kumud gharama za kusuka na anapenda kusuka 3x a month ✓Mwanamke muomba pesa za kula ✓kijana usiwe na mwanamke amepanga...
  14. Cathylin 2002

    Uelewa wa Katiba kati ya Vijana wa Tanzania na Kenya

    I I'm retired ,I'm 37 now .4 beautiful kids
Back
Top Bottom