Napenda kumshukuru mungu kwa kunijaalia nafasi hii ya kipekee maana bila Mimi peke Yang nisingeweza anijaalie moyo wa kujituma kwa bidii bila kuchoka, pia nawashukuru sana wana JF na ambaye alijitolea kuweka lile tangazo la kazi mungu awabariki, ambao bado mnatafuta kazi msichoke wala kukata...
Habari ndugu zangu! Natafuta kazi kati ya hizi personal Secretary, receptionist au customers care, Nimemaliza diploma ya Secretary Chuo cha Tanzania Public service college, nimchapa kazi na mwenye kujituma, Nina nia ya kufanya kazi! Kwa yeyote tuwasiliane PM
Kipimo cha mapenzi ya kweli na uaminifu wako kwake" isije ukasingizia ule usemi wa fimbo ya mbali haiui nyoka ila ya karibu ndo unaua! Kibinadamu siyo know that
Jamani wasichana wenzangu punguzeni kusachi na kuwaibia wenzi wenu hela kwenye wallet na mifuko ya suruali!
Shost angu ananiomba ushauri nawakati kalikoroga mwenyewe hata cha kumshauri nimekosa, MTU wake kambamba akichomoa hela kwenye wallet yake baada ya hapo jamaa katoa kibuti akisema...
Hivi kwanini inakuwaga ngumu kwa msichana kutongoza mwanaume!
Ni desturi iliyojiweka kwamba mwanaume tu ndo aanze kwani huwa mnatufikiriaje nyie wanaume mkifatwa na njisia ya kike?
Ukimfumania mpenz, mke, mume wako live bila chenga na mtu mwingine utachukua jukumu gani ambalo angalau ukifanya hilo nafsi inatulia kidogo! I like to hear from you best friends kwa wale walio wahi kutokewa watusaidie wengine kabla janga halijatokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.