Inaumiza ila ndio imeshatokea!!!

Inaumiza ila ndio imeshatokea!!!

leo nimeamka nausikiliza wimbo wa malaika, nakuhitaji, sijui kwa nini, ila ni mzuri sana.
 
Sasa si ndo ushukuru uje tufungue ukurasa mpya..
 
Kuna watu wameumbwa kunyanyasa nafsi zilizo nyonge na kupondeka roho
 
Mkuu kuna tofauti kubwa sana. Mwenzako alikuwa katika uhusiano wakati wewe ndio kwanza ulitaka kuuanzisha. Maumivu ni tofauti.
Hata hivyo mimi naamini everything happens for a reason. In other words mshukuruni mungu kwa kila jambo. Move forward!

kweli mkuu unaweza kung'ang'a kumbe unajitwisha gunia la misumari. Cos siku noma
 
We utakua unamkwaza mwenZio kila mara anakusamehe,sasa amechoka kaamua hivyo,ndio ushaachwa,tafuta mwingine ila angalia usijekatwa dushe,bora ya huyo aliesema!
 
bora ikuume sasa hivi kungali mapema kuliko ije ikuume wakati is too late!!
 
Sipendi kudate na m'mke kidomo domo hivyo...tukishiindwana basi tuachane kidiplomasia...
 
We utakua unamkwaza mwenZio kila mara anakusamehe,sasa amechoka kaamua hivyo,ndio ushaachwa,tafuta mwingine ila angalia usijekatwa dushe,bora ya huyo aliesema!

mmmmh hawa watu hawaaminiki jamani!!!!
 
kweli sibonike paheru

pole mwaya kwa maswahiba hayo cha kufanya wewe mshit achana naye wala usimjibu chochote
wewe endelea na misimamo yako kimpango wako kama ana akili timamu atakuwa amejifunza kitu hapo

ila hakuna ulichomkwaza mpaka atoe kauli ambayo kwa mwanadamu ni adimu sana kuisikia masikio na inashangaza :A S-eek:
 
Mwambie it was very beautiful ..I enjoyed a lot...all the best...
 
Kwa nini akwambie umwambie kama alivyokwambia? Mkuu wanawake dawa yao ni ndogo sana, wewe usimjibu vibaya, ikibidi muombe msamaha halafu mpotezee! Nakupa miezi miwili na wiki moja atakubeep. Sasa akibeep wewe mpotezee, roho itamuuma sana, then ndo unamrudia huku ukiwa huru
 
There is no means to tolerate the situation! The best thing is to let her go and take what she admires in the house. Have some time in swallowing the situation. After recovery ,you will get the woman of your life who will respect and give you the love you deserve. If you fail to do this she may poison you o doing terrible thing to harm you.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom