Umesoma ukaelewa kilichopitishw?ni kwamba kitakuwa na fairness...kama mlipambana wote basi ni sawa kupiga pasu..ila kama ndo hii umeolewa Leo baada ya mwez unavunja ndoa makusud ili upewe hyo 50
Sasa Kwan wote tuna hobbies zinazofanana?we kama Raha Yako ni kuwa na mwanamke focus on it ...wengine tupo kama michepuko wa wake zenu pindi mkiwazinguq wanakuja kupata faraja kwetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.