carnage21
JF-Expert Member
- Jan 24, 2023
- 520
- 1,257
Yap,always time changes with respect to velocity,kadri kitu kinavosafiri sawa sawa na spidi ya mwanga urefu lazima upungue to nothing,time slows down to a stop na uzito unakuwa infinite kitu ambacho ni illogical.Mpaka sasa nothing goes fast than speed of light.@Andrew TateHii napingana nayo.
Ili upate speed ya kitu lazima utahitaji starting point na destination.
Kitu ambacho kwa mwanga kinawezekana ila kwa fikra ni ngumu kidogo.
Hivyo ili tuweze kumeasure thought speed itabidi tutumie speed ya fikra kuchakata taarifa mpaka pale utakapopata jibu.
Mwanga always uko na speed constant isiyobadilika.
Lakini fikra haziwezi kuwa na speed constant na sidhani kama kuna uwezekano wa kufikia light speed.
ili kujaribu kuprove hilo kwamba speed ya fikra sio constant.
Na sometimes inaweza kuwa slow zaidi ya bando la Airtel au gari lisilo na engine.
Mfano mdogo huu hapa
Unaweza ukaniambia
2,424,697,415,356 x 7,786,326,964,664= sawasawa ni ngapi?
Sidhani hata kama umesoma hizo namba, zisome kwanza.
Je fikra zako zitaweza kuchakata hiyo taarifa chini au ndani ya sekunde 1 Bila ya msaada wowote?
Bila shaka hakuna binadamu duniani anaweza kuchakata hiyo taarifa chini au ndani ya sekunde 1 kwa mara ya kwanza na ukapata jibu bila msaada wowote.
Lakini wakati huohuo ukisema 1+1= ngapi?
Bila shaka asilimia kubwa ya watu wote duniani wanaweza kujua jibu ya hiyo taarifa chini au ndani ya seconds.
Baada ya kuona tu hiyo taarifa tayari fikra zako zimeshachakata hiyo taarifa ndani ya some milliseconds.
Hivyo mpaka hapo tayari speed ya fikra sio constant.
Kuna mengi hapo katikati ila kitendo cha light kuwa na speed constant isiyobadilika under any circumstances tayari speed of light ni almost untouchable at everything.
So in my opinion speed of light wins.
Kingine ni kwamba
technically black hole haimezi mwanga.
Bali massive gravity ya blackhole inabend space.
Na mwanga unafuatisha na kuexist kwenye space hivyo black hole ikibend space then mwanga nao utabend in ili kufuata au kuendana na hiyo space curvature.
Anayeweza kuniprove wrong, kunikosoa au kunichallenge Aje.