Sijakulupuka Kijana ,, nimeisoma vizuri .. ada tuition fee ya CUHAs kwa BMLS & Bpharm ni 4,300,000 .. Wanapewa 3,100,000 hivyo wanaongezea 1,200,000 bado registration fee (administrative fees) ambayo ni 505,000 hapo accommodation sijaihusisha..
Wakati KIU ada ni 3,800,000 tu .. Wanaongezea...