Recent content by Casto Mwamsamba

  1. Casto Mwamsamba

    5 Terrible things you should Avoid when using the Internet

    Thanks for the good message brother!
  2. Casto Mwamsamba

    Imenikera. Hivi inawezekana ikawa ni kweli anachosema!?

    pole sana kiongozi.... ugomvi wa wapenzi walio wengi, suala la simu huchangia kwa kiasi kikubwa. wengine huwa wanadiriki hata kusema, mume/mke kwamba sitaweza kushika simu yako kabisa. shabaha ya kufanya vile, ni kupisha shari ambazo zinaweza chagizwa na hizi simu... Kwani kwa kukagua simu ya...
  3. Casto Mwamsamba

    Wahitimu wa faculty of Civil Engineering UDSM hawana faida kwa Taifa letu

    hapa suala changamoto kubwa, ni kwamba imekaa kinadharia sana kuliko vitendo... ndiyo maana hata wakiwa katika field zao husika, ubunifu unakosekana. Cha msing labda mfumo mzima wa utoaji wa hizi kozi zingekuwa na msingi mzuri to chini huku zikifundishwa zaidi kwa nadhari na vitendo
  4. Casto Mwamsamba

    Rais akikosolewa ndani ya chama "anawapoteza",nje ya chama "anawashughulikia"bila huruma,serikalini

    Honestly.. Jitihada kubwa za kumsaka huyu demokrasia atatakiwa kutumika... Lasivyo, tutashughulikiwa mpaka mwisho... Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
  5. Casto Mwamsamba

    Majaliwa: Ajira mpya za Walimu ni Julai 2016

    kwa kweli, ss walimu wa sanaa tusahau kabisa kwamba kunaajira mwaka huu. kama mwaka jana tu kulikuwa na penyenye kwamba ajira za walimu hazitakuwepo, labda kwa walimu wa sayansi tu, lakini ajira zikatolewa japo kwa kucheleweshwa sana...
  6. Casto Mwamsamba

    Waliolinda na kutetea 'majizi' ya Escrow wanapata wapi uhalali wa kumnyooshea kidole Lowasa?

    Mabadiliko lazima yapatikane. Kama si ndani ya ccm, basi hata nje ya ccm
  7. Casto Mwamsamba

    Kwa wanawake: Jinsi ya kudhibiti house girl asitembee na mume wako

    Hakika, mambo ya msingi sana yamejadiliwa katika ujumbe huo,,,, n dhahiri kabisa kwamba, ni vigumu sana kuishi na binti wa kazi,,,lakini inawezekana kabisa, kwani itategemea na mazingira ambayo mke na mume watayaweka kwa binti huyo wa kazi...
Back
Top Bottom