pole sana kiongozi.... ugomvi wa wapenzi walio wengi, suala la simu huchangia kwa kiasi kikubwa. wengine huwa wanadiriki hata kusema, mume/mke kwamba sitaweza kushika simu yako kabisa. shabaha ya kufanya vile, ni kupisha shari ambazo zinaweza chagizwa na hizi simu... Kwani kwa kukagua simu ya...
hapa suala changamoto kubwa, ni kwamba imekaa kinadharia sana kuliko vitendo... ndiyo maana hata wakiwa katika field zao husika, ubunifu unakosekana. Cha msing labda mfumo mzima wa utoaji wa hizi kozi zingekuwa na msingi mzuri to chini huku zikifundishwa zaidi kwa nadhari na vitendo
Honestly.. Jitihada kubwa za kumsaka huyu demokrasia atatakiwa kutumika... Lasivyo, tutashughulikiwa mpaka mwisho...
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
kwa kweli, ss walimu wa sanaa tusahau kabisa kwamba kunaajira mwaka huu. kama mwaka jana tu kulikuwa na penyenye kwamba ajira za walimu hazitakuwepo, labda kwa walimu wa sayansi tu, lakini ajira zikatolewa japo kwa kucheleweshwa sana...
Hakika, mambo ya msingi sana yamejadiliwa katika ujumbe huo,,,, n dhahiri kabisa kwamba, ni vigumu sana kuishi na binti wa kazi,,,lakini inawezekana kabisa, kwani itategemea na mazingira ambayo mke na mume watayaweka kwa binti huyo wa kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.